MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Aisee hili dude noma sana
These are the questions to ask, not the source of sparesMihemko itaimaliza hii nchi...
BTW shirika la ndege limepata faida kiasi gani tokea mapangaboi yaagizwe?
Mkuu ivo bado ipo pale Mwanza ile Bombardier?Lete source ya vifaa na ile iliyokwama Mwanza.
Thubutuu waliambiwa ole wake atakae enda kuipiga pichaLete source ya vifaa na ile iliyokwama Mwanza.
You are very correct Mkuu.These are the questions to ask, not the source of spares
Hii imepangiwa route ya Dar-Mumbai..Waenda Kilimanjaro December poa kweli kweli walahi!
Sijajua mkuu kama ilishanyanyuka au laMkuu ivo bado ipo pale Mwanza ile Bombardier?
Nyie hamjajua kinachofanywa ni uzinduzi hata kama ni kibovu ili kukusanya points zakuja kuombea tena kura 2020You are very correct Mkuu.
Maana hata like Panton la Dar- Bagamoyo alilonunua akiwa Waziri nalo am sure limekuwa assesmbled na vifaa from different manufacturers.
Leo lipo wapi?? Ilifanya kazi kwa muda gani?
mtuambie faida na hasara pia,Aisee hili dude noma sanaView attachment 802378
Umeona jinsi ndege moja inavyotengenezwa na vifaa toka nchi mbali mbali?Jiwe anakuja na slogan ya viwanda bila kutafakari hili la intergration na nchi viwanda vingineAisee hili dude noma sanaView attachment 802378