Serikali ni ya CCM
Uchagani ni nomaa mkuu...Wale ambao hawajawahi kuona sheli kijijini , hii ni Machame View attachment 1091849
Wale ambao hawajawahi kuona sheli kijijini , hii ni Machame View attachment 1091849
Huku siyo Uingereza, ni nyumbani kwa Dkt Mengi MachameView attachment 1091850
Kweli nyie ni washamba kabisa .Wale ambao hawajawahi kuona sheli kijijini , hii ni Machame View attachment 1091849
Acha uwongonakukumbusha tu, barabara za mikoa ya kaskazini hazina mashimo ni kwa sababu ya Rais Magufuli kwa kupiga marufuku maandamano yasiyo na tija ambaye ndio yalikuwa chanzo cha uharibifu wa bararabara zetu. Magufuli oyeee
Muulize kwanza moshi anapajua atuulize sisi tulioishiCCM imekujaje hapa?
...na utekaji watu!Serikali ni ya CCM
Kwa wale ambao hawajawahi kufika uchagani leo wanaondowa ushamba muone kutoka Kia mpaka kijijini Machame msafara haujakanyaga hata dimbwi moja ni lami tupu na hatujaona nyumba ya tembe hata moja, Wachaga oyeeee.
Hata mimi ningekua Raisi ningewaonea wivu sana wachagga kwani wamefikia ile stage ya maisha bora kwa kila Mtanzania...lazima niwe na wivu nao ni kwanini wamefika sehemu tunayotaka kufikisha sehemu nyingine kubaya zaidi ni jinsi ilivyo ngumu kufikia hayo maendeleo...Chato hoyee....Kolomije hoyee
[/QUO
Ni kweli kabisa,wachaga wana umoja sana kila mahali, wanachama vyao vya kuchangiana ni shida,najifunza sana kwao
J. Muro ni mmachame na kesho ndipo mtapotambua umachame wake km hata Mbowe ataonekana kusogelea mic, na kibano hicho atasaidiwa na mGambo na Mmakonda wa Darkuna zezeta moja la ccm pale uwanja wa ndege Kia likajipachika ndio msemaji wa familia kabla halijashushuliwa na msemaji wa familia mpwa wake Mengi kuchukuwa nafasi yake na kumkaribisha Askofu kwa sala na baadaye DC wa Hai ambaye ni mwenyeji na Rc wa Kilimanjaro. Kuna mijinga inaingilia protocal na misiba ya watu mpaka nje ya mipaka yao ya kazi, ni bora hata RC Ole Sendeka shida yake kubwa ilikuwa aonekane tu kwenye runinga.
Anafanya nini nchi takatifu baada ya kuwatukana Wachagga pale Karimjee? Apigwe.Makonda naye yuko jimboni kwa Mbowe leo. Anavuta hewa tulivu na original
"Sijawahi kuona mchaga anasaidia mlemavu" by BashiteSerikali ni ya CCM
Team madole taarifa zao tunazo kutoka kwa Da Mange kakosekana Le Mutuz tu hapo, na hali ya hewa inaruhusu Moshi.J. Muro ni mmachame na kesho ndipo mtapotambua umachame wake km hata Mbowe ataonekana kusogelea mic, na kibano hicho atasaidiwa na mGambo na Mmakonda wa Dar
tusiandikie mate