FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Unashangaza sana, Mengi ni mjomba wa Mbowe..J. Muro ni mmachame na kesho ndipo mtapotambua umachame wake km hata Mbowe ataonekana kusogelea mic, na kibano hicho atasaidiwa na mGambo na Mmakonda wa Dar
tusiandikie mate