ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
NitashukuruUkhuty nitakualika siku ya uzinduzi.. Uje na Partner wako na kama huna Tafuta!
Tutawapalekeni hivi hivi hadi ikifika 2015 mtajiona Nchi Tajiri bila kuamini Maumivu lazima fuatilia visa vya Matajiri walioanzia umasikini watakuambia jinsi walivyopitia maisha hadi kufikia kileleni.. Trust me!