MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,474
- 8,692
Mashindano yalio malizika kule Tokyo yaneshuhudia Kenya ikishika nafasi ya 10 Duniani na ya kwanza Africa kwa Medali, Tanzania hatupo kokote kule, nchi iko bise na Upinzania.
Olyimpic ndo njia isio na gharama ya kutangaza utalii lakini wapi hilo sisi hatulijui tumewekeza kwenye kukamata, kuvambikia watu keshi na kadhalika.
Olyimpic ndo njia isio na gharama ya kutangaza utalii lakini wapi hilo sisi hatulijui tumewekeza kwenye kukamata, kuvambikia watu keshi na kadhalika.