Wakati Tanzania na Kenya tukiendelea kutekenyana Uganda wao mbioni ku launch kinu cha nyuklia na kuwa nchi ya pili Afrika

nani anayefahamu kesho itakuwaje?Hata Iran walianza na mpango salama km Uganda.Sio rahisi kwa Uganda kutengeneza nuclear weapons ila watakuwa more respected kwenye EA than any other member.😁😁
Mkuu, Uganda hawezi kuwa respected kwa kuwa na kinu cha kuzalisha umeme, na kudhani kitageuka kiwe cha silaha kabla wengine hawajastuka!

Uganda kama atajenga, atazalisha umeme, hizo silaha wala hazimo kwenye mpango.
 
Mkuu, Uganda hawezi kuwa respected kwa kuwa na kinu cha kuzalisha umeme, na kudhani kitageuka kiwe cha silaha kabla wengine hawajastuka!

Uganda kama atajenga, atazalisha umeme, hizo silaha wala hazimo kwenye mpango.
Ndio maana wanaita ujenzi wa nyuklia kwa mpango wa amani yaani "peaceful purposes" hapa ni kwa umeme na utabibu tu na wamesaini mkataba na UN wa kuzuia siraha za kinyuklia .

Kwa ulimwengu wa ss mwenye nyuklia anaheshimika kama haujui..!!Swala la kujenga au kutojenga nuclear weapons ni utashi wa mtu ,je unaonaje utashi wa Mu7 ??
 
Ndio maana wanaita ujenzi wa nyuklia kwa mpango wa amani yaani "peaceful purposes" hapa ni kwa umeme na utabibu tu na wamesaini mkataba na UN wa kuzuia siraha za kinyuklia .

Kwa ulimwengu wa ss mwenye nyuklia anaheshimika kama haujui..!!Swala la kujenga au kutojenga nuclear weapons ni utashi wa mtu ,je unaonaje utashi wa Mu7 ??
Bado sielewi maana yako ya "kuheshimika" kwa vile nchi imejenga mtambo wa nuklia kuzalisha umeme. Ataheshimika kwa kitu gani zaidi ya kuwa na uwezo wa kuzalisha umeme nafuu, na si zaidi ya hilo?
 
Habari wadau.!
Wakati Tz na Kenya wao mambo yao yanalega lega na kupinda pinda huku mama akipambana kuyanyoosha wao waganda wapo mbioni ku launch kinu cha nyuklia kwa "mpango wa amani" ambapo nuklia hiyo itazalisha takribani 41,700Megawatts mpaka kufikia 2040.

Uganda wameingia mkataba na wachina ambao watasanifu, watajenga na kuendesha mradi wa nyuklia,hii inafanya Uganda kuwa nchi ya pili kwa Afrika kwa uzalishaji wa umeme kupitia nyuklia ukiachia mbali SA ambayo ni ya kwanza.

Tukumbuke pia waganda hawa hawa wana mafuta ghafi ambayo yatasafirishwa kuja Tanzania,inaonyesha waganda wamejipanga sana kuliko hata nchi nzingine.

Tanzania sio kwamba hatuna haya madini ya nyuklia ,yapo mengi sana kule kwa kina Komba kule Namtumbo Ruvuma pia yapo maeneo kama Namtumbo (Mkuju), Bahi, Galapo, Minjingu, Mbulu, Simanjiro, Lake Natron, Manyoni, Songea, Tunduru, Madaba and Nachingwea.

Hizi ni fursa ambazo serikali na wizara inabidi iwalete wawekezaji waje kuwekeza kwenye hii "Mkuju River Project "waache kusuasua na sisi twende kwenye huo umeme wa nyuklia ,pia nyuklia ina matumizi mengi hata mahospitalini n.k japo tuna bwawa la Nyerere ila mahitaji ya umeme yanaweza yakawa makubwa sana siku za usoni.

Pia miradi kama hii itasaidia kuongeza ajira kwa vijana wetu ,swala kama hili linatakiwa wizara ya madini kufanya fasta kuakikisha maeneo yenye deposit yanapata wawekezaji haraka sana ili kazi iendelee.
Wabunge popoma Mumesikia hiyo

Cc Lisimo mwana Besebejee
 
Kama watu wanapinga hata umeme wa maji ili tuendelee kupigwa kwenye umeme wa mafuta na gesi, unadhani wataelewa issue ya nyuklia kweli? This dude Mwendazake, pamoja na mapunfufu yake, alikuwa na uwezo mkuwa wa kudiriki mambo ambayo aliona na kuamini yatakuwa na manufaa kwa taifa.
Ni wakati wa mama sasa, tumuunge mkono ili awe na the same courage ya kufanya makubwa zaidi kupita hata hayo aliyofanya Mr Stone!
Mwambie Arudishe huyo mwenda huko Ngawira zetu NSSF kwanza..
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom