KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,156
Mkuu, Uganda hawezi kuwa respected kwa kuwa na kinu cha kuzalisha umeme, na kudhani kitageuka kiwe cha silaha kabla wengine hawajastuka!nani anayefahamu kesho itakuwaje?Hata Iran walianza na mpango salama km Uganda.Sio rahisi kwa Uganda kutengeneza nuclear weapons ila watakuwa more respected kwenye EA than any other member.😁😁
Uganda kama atajenga, atazalisha umeme, hizo silaha wala hazimo kwenye mpango.