Wameshaona hii ndio njia ya kulazimisha kulipwa madai yao baada ya wengine kufanikiwa kupitia njia hii ya kukamata mali zetu hasa hizi ndege.Nadhani kilichosababisha ni ile kauli ya kujitapa kwamba sisi tuna hela,ndio maana wameamua kuja kuzichukua sasa, yeye angekaa kimya tu bila kupiga mayowe
Aisee hili jina la Mabeberu linaumiza, binafsi uniumiza. Hiyo kauli imeanza kufanya kazi sasa Beberu wamesimamisha vichwa.
Note: Namuunga mkono Mh. Rais John Magufuli.
Naona hapa kuna nyingine inawindwaWameshaona hii ndio njia ya kulazimisha kulipwa madai yao baada ya wengine kufanikiwa kupitia njia hii ya kukamata mali zetu hasa hizi ndege.
Aisee hili jina la Mabeberu linaumiza, binafsi uniumiza. Hiyo kauli imeanza kufanya kazi sasa Beberu wamesimamisha vichwa.
Note: Namuunga mkono Mh. Rais John Magufuli.
Ndege siyo bodaboda ya kuibwa na UVCCM yeyote toka Chato hata kuingia nchini humo hata ukiwa na Kadi ya Chama hutaweza kuingia. Washughulikie wapinzani waende kusikojulikana utaitwa kupongezwa.ningekua na ujuzi wa ki rubani ningeenda kuiiba huko kwa madiba ndege yetu then jiwe anipongeze