Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

Swala sio utajiri au umasikini,

Kwaakili Tanzania tunashindwa kugharamia safari ya UNGA kwa kiwango cha kifisadi?

Hoja hapa ni UZALENDO wa Mzalendo namba moja Samia Suluhu Hassan,

Ukisoma hiyo Source Watu wa Angola wanalalamika kama uchumi ni huo Why walalamike,

Tukubaliane kwa Sasa Africa, Mzalendo namba Moja ni SAMIA SULUHU HASSAN TU.
Tunataka demokrasia na waache kuwabambikia watu vyesi feki pia Samia afahamu kwamba yeye hana "The lawful mandate" kuongoza hii nchi kwani walihujumu uchaguzi.

Hayo mambo ya sijui alienda UN kwa ndege ya abiria sio muhimu sana kwetu kwa sasa hata angeenda kwa usafiri wa punda.

Tunachotaka ni katiba mpya itakayosimamia demokrasia na haki, haya mengine unayoleta ni porojo tu za kisiasa.
 
Lipweni fedha vizuri...unafikiri gharama ni hizo 270m tu?hilo kundi la watu na usalama lililokwenda walitumia gharama kiasi gani ?ni kukaa kimya tu jamani
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
 
Uzalendo ni kutumia nafasi yako kuongoza kwa haki na kusimamia vizuri sera na sheria za nchi ili wananchi wajiletee maendeleo kila mmoja kwa nafasi yake.sio kiongozi kujinyima kutokufanya baadhi ya mambo maana hayo ni maamuzi yake binafsi.ata Moo dewji anaweza kuamua kujinyima baadhi ya mambo japo anaweza kufanya.Sisi tutapima alitumiaje nafasi aliyoipata kuleta maendeleo nasio vinginevyo.
💪🏿💪🏿💪🏿 Mama ndivyo anavyo fanya
 
Lipweni fedha vizuri...unafikiri gharama ni hizo 270m tu?hilo kundi la watu na usalama lililokwenda walitumia gharama kiasi gani ?ni kukaa kimya tu jamani
Gharama kubwa ni mafuta MKUU wangu, Hizi zingine ni ndogo ila hazifikii 9.5M za huyu fisi wa Angola
 
HOTUBA YA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA NI MIONGONI MWAHOTUBA BORA 7 MKUTANO WA 76
_________________________________

Foreign Policy ( FP) ya Marekani yaitaja hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Sept 23|2021 UN Gen Assembly kuwa ndio hotuba bora zaidi toka Africa na nimiongoni mwahotuba saba ( 7 ) bora zaidi zilizotolewa na viongozi wakuu wa nchi kwenye Mkutano mkuu wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa New York Marekani,

Hotuba ya Rais Samia UNGA pia inatajwa kuwa ndio hutoba bora zaidi toka kwa Rais Mwanamke duniani miongoni mwawanawake Marais waliohutubia mkutano huo wa 76,Utafiti huo ulifanywa na Foreign policy kwa kuwahoji wajumbe wa mkutano ule ambao Rais Samia alikuwa miongoni mwawajumbe hao 192 toka nchi 193 wanachama wa UN ambao wengi wao walifika na wengine wachache walishiriki kwa njia ya Mtandao,

Marais wengine sita ( 6 ) kati ya 192 waliotoa hotuba bora kama ilivyo kwa Rais Samia Suluhu Hassan ni Mhe Joe Biden rais wa Marekani, Rais wa Brazil Mhe Jair Bolsonaro,Rais wa China Xi Jinping,Rais wa Lebanoni Mhe Michel Aoun,Rais wa Irani Mhe Ebrahim Raisi’s na waziri mkuu wa India Narendra Modi hakika Rais Samia ni nyota inayong'aa duniani,

Mtakumbuka Rais Samia mara kwa mara katika hotuba yake ile alisifu na kusisitiza Uhusiano wa Kimataifa na mipango ya UN,namnukuu "Ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kwenda mbali nenda na wenzako " huku akitanabaisha Taifa lake la Tanzania kuhitaji zaidi msaada katika Teknolojia pamoja Fedha toka kwa Mataifa mengine huku akionya " Kamwe ushirikiano wa kimataifa hautashindwa kupambana na virusi vya Covid -19,

Rais Samia Suluhu Hassan amezishangaa nchi tajiri kuanza kurudia chanjo ( boosting) wakati nchi nyingi masiki toka Africa utoaji wa chanjo bado wako chini 2% ,amezitaka kuzisaidia ilikufikia lengo la WHO la chanjo 40% kwa nchi zote 193 hadi mwishoni mwamwaka 2021 na kufika 70% mwishoni mwa 2022,endelea kujisomea hapo chini,


=============================

President Samia's speech among seven most important at UNGA 2021

WEDNESDAY SEPTEMBER 29 2021

President Samia Suluhu Hassan addressing the United Nations General Assembly (UNGA).

Summary

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Dar es Salaam.
________________
President’s Samia Suluhu Hassan’s maiden speech at the United Nations General Assembly (Unga), has been mentioned among the seven most important during the session.

On September 23,

President Samia Suluhu Hassan addressed Unga’s 76th session in New York, USA this week.

President Samia Suluhu Hassan’s speech has been selected by American website ‘Foreign Policy (FP)’ among the most important addresses at the assembly and the only one from a female head of state.

Samia becomes one of the few female heads of State from Africa to address the UN General Assembly.

Other head of the whose Unga speeches have been highlited as important includes: the U.S. President Joe Biden, Brazilian President Jair Bolsonaro, Chinese President Xi Jinping, Lebanese President Michel Aoun, Iranian President Ebrahim Raisi’s and Indian Prime Minister Narendra Modi

In their publication, Foreign Policy asked several of their columnists and contributors to weigh in on the speeches they found most compelling or most concerning.

When President Samia finally took the stage to deliver her speech at the Unga, she presented a distinctive contrast to the endless stream of all-male speakers who had preceded her to the podium on the third day of the General Debate.

In her maiden speech, Samia repeatedly praised multilateralism and the United Nations system. She noted her nation’s dependency on technical and financial support from external sources and admonished that “multilateralism cannot and should not succumb to the virus.”

She decried the COVID-19 vaccine inequality, noting that high and middle-income countries were now giving booster vaccinations while developing countries such as Tanzania had barely inoculated even 2 percent of its population.

“The level of vaccine inequity that we see is appalling.It is truly disheartening to see that most of the countries have inoculated less than 2 per cent of the populace and thus need to seek more vaccines for our people,”

“With the current pace, it is less likely that we will meet the WHO threshold of vaccinating at least 40 percent of people in every country by end of 2021, and at least 70 percent by the first half of 2022,” she said.

President Samia also spoke at length on gender equality, a cause she avidly advocates.

“As the first female president in the history of my country, the burden of expectation to deliver gender equality is heavier on my shoulders. Being passionate about gender equality is not sufficient and as such, my government is reviewing policy and legal frameworks in order to come up with actionable and measurable plans to ensure economic empowerment of women and other aspects pertaining to gender equality and gender parity,” she noted.

President Samia pointedly noted that ‘COVID-19 is threatening to roll back the gains made’ in gender equity and said she plans to implement policies aimed at female economic development and political and social advancement.

She assured the Assembly of Tanzania's commitment to remain a formidable member of the United Nations and a dependable supporter of multilateralism.

Other female presidents
Although most African countries joined the UN in the 1960s soon after they attained independence, with a few joining earlier than that or later, it wasn’t until 2006 that the first African female Head of State, Ellen Johnson Sirleaf of Liberia, addressed the UN General Assembly.

Currently, the 54 African member states of the UN make up to 28 percent of its overall membership. Before 2006, only male heads of State and governments had addressed the General Assembly.

Other African female heads of State that followed were Joyce Hilda Banda of Malawi in 2012, Catherine Samba-Panza of the Central African Republic in 2014, and most recently, Sahle-Work Zewde of Ethiopia in 2019.

.........Kazi iendelee.........

C&P
Hongera sana Rais Samia

#Kazi iendelee
 
Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya ndege ya TZS 270M kwakupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9,500M kwenye Safari hiyohiyo ya UNGA, Wonders shall never end in Africa
________________________________________


Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,

Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.

Rais wa Angola H. E. Joao Lourenço katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.

Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.

Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.

.........Kazi iendelee .........




Alarm over Angola President’s Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.

Summary

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President João Loureço’s budget for UN travel.

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

President João Lourenço took over in September 2017, at the end of José Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.

Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as “not fair”.

“It is too much abuse of our money,” she said.

Tchizé dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: “Were the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?”

Santos added: “$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.”

Mr João Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.

“It is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.

The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President Lourenço and his ruling MPLA party seeking retain power.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA

View attachment 1955719
Jamaa, yaani hujui kuwa Angola wanavyo visima vya mafuta na ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta? Angola wese linachimbwa hapohapo, sisi tunaagiza kutoka Arabuni. Hiyo ndio tofauti baina ya Samia na Joao.

Vv
 
Jamaa, yaani hujui kuwa Angola wanavyo visima vya mafuta na ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta? Angola wese linachimbwa hapohapo, sisi tunaagiza kutoka Arabuni. Hiyo ndio tofauti baina ya Samia na Joao.

Vv
Kwani kuwa na pesa ndio kufuja pesa?

Mbona wao wanamlalamikia Joao kama wamekubali?
 
Tunataka demokrasia na waache kuwabambikia watu vyesi feki pia Samia afahamu kwamba yeye hana "The lawful mandate" kuongoza hii nchi kwani wakihujumu uchaguzi.

Hayo mambo ya sijui alienda UN kwa ndege ya abiria sio muhimu sana kwetu kwa sasa hata angeenda kwa usafiri wa punda.

Tunachotaka ni katiba mpya itakayosimamia demokrasia na haki, haya mengine unayoleta ni porojo tu za kisiasa.


Mahakama ndio itasema nini ni nini?

Demokrasia ni mchakato,

Kazi iendelee
 
Muongo huyo, hata Katiba ya sasa yenyewe haifuati, kutuzuia kufanya Siasa za majukwaani ni Udikteta.
Hebu nioneshe kipengele katika katiba ya sasa kinacho kuruhusu kuendeleza mikutano ya majukwaa ya kisiasa baada ya uchaguzi.

Yaan ni sawa na chuo tu baada ya kuchagua rais wa chuo wote mnarud class kupambana na GPA hakuna tena magenge zaid ya hapo ni kampeni ya kumkwamisha aliyepo.

Mikutano yenu ya ndani fanyeni lakin majukwaani subirini mda ufike
 
Back
Top Bottom