Wakati Rais Samia akisema Mzozo wa Urusi na Ukraine utaathiri Uchumi, Rais Dk. Mwinyi asema usitumike Kisingizio cha Kupandisha Bei na Kuathiri Uchumi

Utake usitake , Vita ya Urusi na Ukraine lazima itaathiri uchumi. Bei ya mafuta ya petroli katika soko la dunia inayumba sana hasa kutokana na vikwazo vya uchumi ambavyo bara Ulaya na Marekani wameiwekea Urusi. Nchi ndogo ndogo kama za kwetu - lazima zitatii vikwazo hivyo kwa kuwa makampuni mengi makubwa ya mafuta yanatii vikwazo hivyo kwa kuogopa kupigwa faini na Marekani. Kama ulifuatilia vizuri taarifa toka Zanzibar - ilifafanua kwamba kuna taarifa vitu vingi viliingia Zanzibar kabla ya vita ya urusi na Ukraine. Vita hii imedumu kwa mwezi mmoja sasa - Mfanyabiashara anayeweka shehena ( stock) ya zaidi ya mwezi mmoja yupo vizuri sana! Wa-Tz tunatakiwa kuanza kuzoea kuambiwa ukweli na viongozi wetu wakuu. Tusifurahia kudanganywa , vitisho na uonevu wa aina yoyote ile.
Wwe bado hujawa hata na familia,kuna misukosuko mingine huko nje lazima upambane nayo kimyakimya bila kuitaarifu familia yako, maana ukiitaarifu mapema unaweza sababisha maafaa zaidi kwa familia yako!!
 
Utake usitake , Vita ya Urusi na Ukraine lazima itaathiri uchumi. Bei ya mafuta ya petroli katika soko la dunia inayumba sana hasa kutokana na vikwazo vya uchumi ambavyo bara Ulaya na Marekani wameiwekea Urusi. Nchi ndogo ndogo kama za kwetu - lazima zitatii vikwazo hivyo kwa kuwa makampuni mengi makubwa ya mafuta yanatii vikwazo hivyo kwa kuogopa kupigwa faini na Marekani. Kama ulifuatilia vizuri taarifa toka Zanzibar - ilifafanua kwamba kuna taarifa vitu vingi viliingia Zanzibar kabla ya vita ya urusi na Ukraine. Vita hii imedumu kwa mwezi mmoja sasa - Mfanyabiashara anayeweka shehena ( stock) ya zaidi ya mwezi mmoja yupo vizuri sana! Wa-Tz tunatakiwa kuanza kuzoea kuambiwa ukweli na viongozi wetu wakuu. Tusifurahia kudanganywa , vitisho na uonevu wa aina yoyote ile.
Swali langu Bei kupanda zimeanza baada ya vita?
 
Wwe bado hujawa hata na familia,kuna misukosuko mingine huko nje lazima upambane nayo kimyakimya bila kuitaarifu familia yako, maana ukiitaarifu unaweza sababisha

Swali langu Bei kupanda zimeanza baada ya vita?
kelele ya kwamba Urusi itaivamia Ukraine yameanza kama miezi miwili kabla ya vita yenyewe. Urusi ilianza kujaza askari wake mpakani na Ukraine, baadaye ikaanza mazoezi na Belarus. Bei ya mafuta katika soko la dunia ilisha anza kuyumba kwasababu wawekezaji walikuwa wameisha ingiwa na hofu ya vita . Kwahiyo bei ya mafuta imeanza kupanda kabla ya vita yenyewe. Ila vita imeongeza kasi ya bei kupanda juu .
 
kelele ya kwamba Urusi itaivamia Ukraine yameanza kama miezi miwili kabla ya vita yenyewe. Urusi ilianza kujaza askari wake mpakani na Ukraine, baadaye ikaanza mazoezi na Belarus. Bei ya mafuta katika soko la dunia ilisha anza kuyumba kwasababu wawekezaji walikuwa wameisha ingiwa na hofu ya vita . Kwahiyo bei ya mafuta imeanza kupanda kabla ya vita yenyewe. Ila vita imeongeza kasi ya bei kupanda juu .
Acha uongo bana, Bei ya mafuta imeanza kupanda mwaka Jana mwezi wa 7
 
GENTAMYCINE nikisema kuwa Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi anatakiwa kuja kuwa Rais wa Bara na naona kama vile anachelewa mlio na Ubongo mzito ( yaani Mapopoma ) mnanikasirikia, hamnielewi na mnaniona nina Chuki tu na Mtu fulani.

Wakati kuna Mtu huku Kwetu Tanzania Bara Siku chache tu zimepita alinukuliwa na bado tena katika Hafla aliyoalikwa aliendelea Kusisitiza ( tena Macho Makavu ) kabisa kuwa Mgogoro ( Mzozo ) wa Ukraine na Urusi utaathiri Uchumi wetu, Maisha yatakuwa Magumu na Vitu ( Bidhaa ) kama Mafuta na vinginevyo vitapanda Bei.

Wiki iliyopita Rais wangu ninayemhitaji mno huku Tanzania Bara Dk. Hussein Ali Mwinyi wa Zanzibar na Kwetu Mkoani Mara ( Musoma ) alitangaza rasmi Kupunguzwa na Bei ya Vyakula Kisiwani Zanzibar mpaka pale Mwezi Mtukufu wa Ramadhan utakapoisha na akaenda mbele zaidi kusema kuwa Serikali yake imewapunguzia Kodi Wafanyabiashara vya Vyakula na Bidhaa muhimu kwa Kipindi hiki.

Kuonyesha kuwa Rais wa GENTAMYCINE na ambaye upesi mno namtaka aje atutawale huku Tanzania Bara Dk. Hussein Ali Mwinyi hatanii na hata Kichwani ( Upstairs ) yuko vizuri amenukuliwa na Gazeti la Serikali ya Muungano la Habari Leo ( la Leo hii hii Jumamosi ya tarehe 2 Mwezi April, 2022 ) Ukurasa wa Pili ( 2 ) akionya Watu kuacha kutumia Mzozo ( Mgogoro ) wa Urusi na Ukraine kama Kisingizio cha Kupandisha Bei bidhaa na Kuwatesa Wananchi Masikini wakiongozwa nami GENTAMYCINE.

Tafadhali Rais wa Zanzibar Dk. Mwinyi ( na najua huwa Unanisoma sana tu hapa JamiiForums ) kama kwa sasa hutaki kuja Kutuongoza huku Tanzania Bara basi naomba nije niishi huko Zanzibar uliko chini ya Uongozi wako mpaka pale utakapokuja sasa kuwa Rais wetu Kipenzi na tunayekuhitaji basi tutarudi Wote kwani huku Bara kwa sasa sipaelewi sipaelewi hivi na naona kila Uchao kunaporomoka tu.

Wazanzibari nakuja Kuishi nanyi huko!!!!
Mwinyi yupo vizuri, tukumbuke suala la nguzo za umeme pia amekataa zisiuzwe na shirika la umeme kama huku, ajabu huku zinakozalishwa ndiko zinauzwa
 
Back
Top Bottom