Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Hivi punde Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa huku wanawake wakiwa wachche mno ktk uteuzi huo.
Akilihutubia Bunge kasema atawateua wanawake kwa wingi ktk teuzi zake. Mbona imekuwa kinyume?
Je hakuna wanawake wenye uwezo wa kuongoza mikoa au kashauriwa tofauti na watu wenye umfumo dume?
Ngoja tusubiri Ma DED, DC, Makatibu Tawala, Mabalozi nk. Vingnevyo wanawake wapoteze tumaini.
Akilihutubia Bunge kasema atawateua wanawake kwa wingi ktk teuzi zake. Mbona imekuwa kinyume?
Je hakuna wanawake wenye uwezo wa kuongoza mikoa au kashauriwa tofauti na watu wenye umfumo dume?
Ngoja tusubiri Ma DED, DC, Makatibu Tawala, Mabalozi nk. Vingnevyo wanawake wapoteze tumaini.