Ruppy karenston
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 412
- 73
Hili jambo huwa linanitatiza sana!
Muungano unamaanisha mjumuiko wa watu wawili au zaidi! Ila ukiangalia picha za muungano unaona Nyerere peke yake akiuchanganya udongo kwa ajili ya muungano, je mwenzake alikuwa wapi? Naombeni msaada kwa hili.
Muungano unamaanisha mjumuiko wa watu wawili au zaidi! Ila ukiangalia picha za muungano unaona Nyerere peke yake akiuchanganya udongo kwa ajili ya muungano, je mwenzake alikuwa wapi? Naombeni msaada kwa hili.