Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Dr. Slaa hatakuwa na mpizani. Tunalotaka na kulisistiza ni ulinzi wake ili aifikie iyo 2015.
Wanahistoria tuna amini kuwa Mandela ametengeneza historia yake.Wala haina haja ya kuyasema yote.Kwangu mimi nataka kubwa moja tu ndio liigwe na wapenda mabadiliko wote nchini na kuniunga mkono.
JAMBO HILI NI TUMKUMBUKE MZEE MADIBA KWA KUIKOMBOA AFRIKA YA KUSINI NA KISHA KUWA RAIS KWA KIPINDI KIMOJA TU.KWA HILI NDIO MAANA NATAMANI MH DR. W P SLAA ABEBE DHAMANA YA KUIKOMBOA NCHI HII KUTOKA KWA MAFISADI NA WAROHO WA MADARAKA NA HATIMAYE BAADA YA KIPINDI KIMOJA CHA UONGOZI WAKE AACHIE WENGINE KATIKA MISINGI IMARA YA DOLA HUKU AKIANDIKA HISTORIA YAKE TANZANIA.
Wanahistoria tuna amini kuwa Mandela ametengeneza historia yake.Wala haina haja ya kuyasema yote.Kwangu mimi nataka kubwa moja tu ndio liigwe na wapenda mabadiliko wote nchini na kuniunga mkono.
JAMBO HILI NI TUMKUMBUKE MZEE MADIBA KWA KUIKOMBOA AFRIKA YA KUSINI NA KISHA KUWA RAIS KWA KIPINDI KIMOJA TU.KWA HILI NDIO MAANA NATAMANI MH DR. W P SLAA ABEBE DHAMANA YA KUIKOMBOA NCHI HII KUTOKA KWA MAFISADI NA WAROHO WA MADARAKA NA HATIMAYE BAADA YA KIPINDI KIMOJA CHA UONGOZI WAKE AACHIE WENGINE KATIKA MISINGI IMARA YA DOLA HUKU AKIANDIKA HISTORIA YAKE TANZANIA.
Vice-versa is trueYou must be sick my friend! dont dream at daylight! how come for the person who cant lead his small party to takecare of the huge majority of Tanzanian.I feel so sad of you.A man who is hungery of power.
You must be sick my friend! dont dream at daylight! how come for the person who cant lead his small party to takecare of the huge majority of Tanzanian.I feel so sad of you.A man who is hungery of power.
Dr. Slaa hatakuwa na mpizani. Tunalotaka na kulisistiza ni ulinzi wake ili aifikie iyo 2015.
Wanahistoria tuna amini kuwa Mandela ametengeneza historia yake.Wala haina haja ya kuyasema yote.Kwangu mimi nataka kubwa moja tu ndio liigwe na wapenda mabadiliko wote nchini na kuniunga mkono.
JAMBO HILI NI TUMKUMBUKE MZEE MADIBA KWA KUIKOMBOA AFRIKA YA KUSINI NA KISHA KUWA RAIS KWA KIPINDI KIMOJA TU.KWA HILI NDIO MAANA NATAMANI MH DR. W P SLAA ABEBE DHAMANA YA KUIKOMBOA NCHI HII KUTOKA KWA MAFISADI NA WAROHO WA MADARAKA NA HATIMAYE BAADA YA KIPINDI KIMOJA CHA UONGOZI WAKE AACHIE WENGINE KATIKA MISINGI IMARA YA DOLA HUKU AKIANDIKA HISTORIA YAKE TANZANIA.
Wewe punguani unataka kumlinganisha hayati Mandela na Slaa kwa lipi? UADILIFU,USAFI WA ROHO NA NAFSI,UZALENDO KWA NCHI NA WATU WAKE,UBADHILIFU,ULAGHAI, au ni mapenzi yako tu?Wanahistoria tuna amini kuwa Mandela ametengeneza historia yake.Wala haina haja ya kuyasema yote.Kwangu mimi nataka kubwa moja tu ndio liigwe na wapenda mabadiliko wote nchini na kuniunga mkono.
JAMBO HILI NI TUMKUMBUKE MZEE MADIBA KWA KUIKOMBOA AFRIKA YA KUSINI NA KISHA KUWA RAIS KWA KIPINDI KIMOJA TU.KWA HILI NDIO MAANA NATAMANI MH DR. W P SLAA ABEBE DHAMANA YA KUIKOMBOA NCHI HII KUTOKA KWA MAFISADI NA WAROHO WA MADARAKA NA HATIMAYE BAADA YA KIPINDI KIMOJA CHA UONGOZI WAKE AACHIE WENGINE KATIKA MISINGI IMARA YA DOLA HUKU AKIANDIKA HISTORIA YAKE TANZANIA.
Hatuko tayari kuwa na padri mzinzi hata pengo analijua