Wakati nchi iko kwenye changamoto lukuki, Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu wako nje ya nchi

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,320
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Majaliwa yupo na kesho anazindua vishikwambi Wizara ya Elimu
 
Kutokuwepo kwa Viongozi hawo wawili hakuziii shughuli za kiserikali kuendelea.
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Waache watafute fursa na misaada kwa taifa
 
Watanzania ni sawa na nyumbu tu,wana swagwa kama ma ng'ombe wala haya hoji yanapo pelekwa...Ni msobe msobe tu, Haya twende na yenyewe hayo yanaenda wala hayachukui hatua ni kubaki kulalamika yakibweka bweka tu!
Infroprenuer
Umenena. Yaani kila kukicha mtu mmoja anasifiwa utadhani ndiye alituma hiyo nchi na watu wanashinda njaa ila hawaoni.
Majanga kila Kona watu wamelala kimya! Polisi naonwana matatizo Lukuki lakini wataumia watu kesema ya moyoni na kuandamana.
Eti mtu kamsema Rais anapigwa faini ya mil. 5 na kifungo !! What the h..l!!
Nchi imekaa utopolo mtupu! Hawaoni nchi za wengine Rais anasema hata kuandikwa mitandaoni na mabango mtaani na Kuwajibika Kwamfano wa happy Uingereza!!
 
Kila nikitaka kusema nakumbuka kuwa mwanasheria wangu kasafiri....
20221019_103005.jpg
 
Kwa jinsi tatizo la maji lilivyo serious kwa wenzetu nchi ingepinduliwa

Yaani nchi mzima ipo kwenye tatizo la serious la maji halafu mnaacha tu na kwenda nje kutalii!!!
 
Hivi toka uhuru mpaka leo bado tunahangaika na maji na umeme kweli kwa watu wetu? Kweli?
 
Infroprenuer
Umenena. Yaani kila kukicha mtu mmoja anasifiwa utadhani ndiye alituma hiyo nchi na watu wanashinda njaa ila hawaoni.
Majanga kila Kona watu wamelala kimya! Polisi naonwana matatizo Lukuki lakini wataumia watu kesema ya moyoni na kuandamana.
Eti mtu kamsema Rais anapigwa faini ya mil. 5 na kifungo !! What the h..l!!
Nchi imekaa utopolo mtupu! Hawaoni nchi za wengine Rais anasema hata kuandikwa mitandaoni na mabango mtaani na Kuwajibika Kwamfano wa happy Uingereza!!
Watanzania wanapumbazwa na Amani ya nchi... ukijaribu kuhoji unakamatwa una ambiwa unataka kuvunja amani ya nchi...Akili za wabongo zimelala usingizi wa pono...
 
Back
Top Bottom