SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Wanapika kwakua mlishawapa nafas ya KUPIKA.Hata hao acacia wanapika data
Leo hata ukivunja bodi ya TMAA ni kaz bure,kazi iliisha tangu miaka ya 1990
Wanapika kwakua mlishawapa nafas ya KUPIKA.Hata hao acacia wanapika data
Tukiacha matakataka yote ya uzalendo etc......hapa Tanzania na bara lote la africa, haijawahi kutokea na haitokuja kutokea mapatano ya aina yoyote kati ya mzungu na mzawa juu ya mali zilizopo ndani ya nchi husika et yakawa positive kwa mzawa.....HAIJAWA NA HAITOTOKEA,,,, Ni kweli tulisaini mikataba sis wenyew lkn unadhani kwa nini kwa kipindi kile kwa nini hatukupiga kelele?? ELIMU BROTHER,,,,,elimu na ufaham vimetukomboa hvo ukisema tuache et kwa sababu ulikua ni ujinga wetu basi utakuwa unamaanisha kuwa hakukuwa na ulazima wa baba ako kukupigania mpaka leo hii umejua kusoma na kuandika!!!!uzalendo ni nini? kutokutii na kuheshimu mikatba ulioisaini kwa hiyari yako? nani aliwakaribisha wawekezaji wa migodini? akina nani walipitisha miswaada hiyo ya madini bungeni harakahraka? nani walifaidika na hiyo mikataba? je rais kajua leo kama tunaibiwa au alikua anajua? approach aliotumia inatatua tatizo au ndio inazidisha ukubwa wa tatizo? kama una akili timamu utakua umenielewa....
nawatakia kila heri wanasheria wa acacia na ushindi mwema katika kesi yao
huyo munk ni mossad na pia ana ushawishi mkubwa katika tawala za marekani, canada na australia...... sasa wameliamsha dude lililo lala na wengi wasio jua ni kwamba hawa wayahudi ndio walio saini kifo cha arafati na hata gaddafi........ tuombe uhai tutashuhudia mengi na ipo siku tutajuta kwanini hawa jamaa tuliwapa nchi yetu watutawale kwa kutumia ujeuri na fikra zao za visasi...
wayahudi hushinda vita zao zote kwa kutumia akili kubwa na sio mihemko na kiki za majukwaani
Yani ndani ya nyumba baba mzazi amesaini mkataba shingo yake itumike kunolea upanga bila kua na ufahamu wa makali ya upanga....lengo apate fedha alishe wanae...
lakin kujakushtuka panga kumbe linatafuna shingo taratibu ambapo mwishowe ni kifo...huku pesa alizotarajia asipewe na watoto njaa imewazidia.
Umesoma mada ukamaliza??Kwa hiyo hoja yako ni ipi?tuendelee kuibiwa au?
Katika Jina la Yesu, kibiashara hapana.Hao ni MARAFIKI zetu
Well said...tena jambazi tumelifuma mchana kweupe...afanalek!Katika Jina la Yesu, kibiashara hapana.
HIYO LAANA NA UIPATE WEWE NA KIZAZI CHAKO MILELE YOTE!Yani tumeingia anga za ukoo wa Yesu wateule wa Mungu ambao wafanye wasifanye dhambi Yani bado Mungu anawapenda tu nakuwaongezea.
Magufuli tutakulaumu milele kwa hii laana.
TUMEKWISHA
Kuwa mzalendo mwana acha ushemeji na BARRICK wewe ni mtanzania siyo myahudi hata kama walikosea mikataba lazima tusimame kuitetea nchi yetu,kama jamaa anawanyang'anya wapalestina ardhi wewe huoni kama ukoloni unarudi kiaina imagine tunalipwa mrahaba wa 4% wao wanachukua 96% fikiri hapo nchi ya nani, pambana wewe toa mafedhuli bongo usijiangalie mwenyewe angalia na kizazi kijacho..na shangaa kuona mijitu inatoka mipovu kwa kuitetea barrick na munk wake wakati rasilimali za nchi yetu inaangamia Tuamke watanzaniJambo baya zaidi ni kuwa sisi tunachukua maamuzi kwa data za kupikwa na akina Mruma. Ni vigumu kuwaita hata maprofesa kwa ripoti ya kiwango cha chini kama ile.
Unatoa data ambazo kila mwenye ufahamu anakuona wewe ni mjinga. Dunia nzima hakuna mgodi hata mmoja ambao pekee yake unazalisha dhahabu inayofikia ounces zaidi ya laki 5 kwa mwaka. Lakini ripoti ya akina Mruma inaashiria mgod wa Bulyanhulu na Buzwagi inazalisha ounces 1.6 million!
Kama hujui hata kiasi unachoibiwa, utapambana kwaajili ya kuokoa nini? Nadhani kuna haja ya wasomi wanaopewa majukumu ya kitaaluma, nao wakasema wana uwezo halafu ikathibitika hawana uwezo, wawe wanaadhibiwa vikali.
Katika Jina la Yesu, kibiashara hapana.
Mtoa mada kaeleza vizuri na hata hitimisho lake kalitoa vizuri.Bro swali gumu sana. I never felt kwamba watz wanaamini kuibiwa na wazungu ni kitu bora sana