Shagihilu
Member
- Jan 13, 2010
- 60
- 11
......Pengine kwa nchi yetu hili lisingekuwa jambo la kutisha kama tungekuwa tumeanza kuona chama kizuri cha upinzani ambacho kinaweza kuiongoza nchi hii badala ya CCM.
Hakijaonekana bado!
Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ya uzito wa historia yake,hadhi ya jina lake, mfumo wa wavu wake, mazoea ya watu, na ubovu wa vyama vya upinzani, kinaweza kuendelea kuchaguliwa na watanzania,pamoja na kansa ya uongozi wake. Au watu wanaweza wakachoka, wakasema, "potelea mbali:" wakachagua chama chochote, ilimradi tu watokane na kansa ya uongozi wa CCM. Hainifurahishi kuyasema haya, lakini uhai wa nchi yetu unataka yasemwe.
Uongozi wetu na hatima ya Tanzania- Julius K. Nyerere, Uk 61
Hakijaonekana bado!
Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ya uzito wa historia yake,hadhi ya jina lake, mfumo wa wavu wake, mazoea ya watu, na ubovu wa vyama vya upinzani, kinaweza kuendelea kuchaguliwa na watanzania,pamoja na kansa ya uongozi wake. Au watu wanaweza wakachoka, wakasema, "potelea mbali:" wakachagua chama chochote, ilimradi tu watokane na kansa ya uongozi wa CCM. Hainifurahishi kuyasema haya, lakini uhai wa nchi yetu unataka yasemwe.
Uongozi wetu na hatima ya Tanzania- Julius K. Nyerere, Uk 61