Wakati mwingine mwl alikuwa na maneno magumu sana!!!!

Shagihilu

Member
Jan 13, 2010
60
11
......Pengine kwa nchi yetu hili lisingekuwa jambo la kutisha kama tungekuwa tumeanza kuona chama kizuri cha upinzani ambacho kinaweza kuiongoza nchi hii badala ya CCM.
Hakijaonekana bado!
Chama cha Mapinduzi, kwa sababu ya uzito wa historia yake,hadhi ya jina lake, mfumo wa wavu wake, mazoea ya watu, na ubovu wa vyama vya upinzani, kinaweza kuendelea kuchaguliwa na watanzania,pamoja na kansa ya uongozi wake. Au watu wanaweza wakachoka, wakasema, "potelea mbali:" wakachagua chama chochote, ilimradi tu watokane na kansa ya uongozi wa CCM. Hainifurahishi kuyasema haya, lakini uhai wa nchi yetu unataka yasemwe.
Uongozi wetu na hatima ya Tanzania- Julius K. Nyerere, Uk 61
 
At this point, lawama ya uongozi mbovu Tanzania, ingawa haiondoki kabisa kutoka CCM, pia inaanza kuenea kwa Watanzania wote kwa ujumla hususan wanaoipigia kura CCM.

Huwezi kusema CCM wana nguvu kiasi hicho. Kwa kweli by African standards for example, Tanzania ni moja ya nchi zinazoongoza katika freedom of speech, watu wanapaka live, magazeti yanaandika kuanzia ukweli mpaka uzushi, tumekuwa na vyama vingi kwa kadiri ya miaka 18 sasa, kwa hiyo si haki kulaumu CCM kwa kila kitu.

Mengine ni makosa yetu wote kama Watanzania, especially wote tunaopigia kura CCM na tunaoshindwa kutoa na ku articulate a better alternative.

Watu wa CCM wanaoperate a dinousaric steam engine ambayo haiwezi ku adapt na the times in a flip like that, lakini kila mtu - hata huyo baba wa taifa- ana operate under the illusion kwamba the best leadership itatoka CCM or it's fractions.

It's been 18 years already, we should know better.
 
Mengine ni makosa yetu wote kama Watanzania, especially wote tunaopigia kura CCM na tunaoshindwa kutoa na ku articulate a better alternative.

Bosi kumbe umeshawahi kuipigia kura CCM? Come on son....

Mimi sijawahi kabisa kuwapigia kura hao jamaa ktk ngazi yoyote ile.
 
Bosi kumbe umeshawahi kuipigia kura CCM? Come on son....

Mimi sijawahi kabisa kuwapigia kura hao jamaa ktk ngazi yoyote ile.

Son,

As far as I am concerned usipopiga kura against CCM umepiga kura for CCM. That goes for the diaspora crowd that sadly doesn't vote either due to circumstances or nonchalant attitudes, as well as for the TZ massive.

Mie sijawahi kuipigia kura CCM directly, lakini kwa kutokuwepo bongo na kuipinga CCM directly -pamoja na kupigia chama kingine- naona ni sawa na kuipigia kura CCM.

Plurals nyingine ni za usanifu kama vile kwenye Quran unapoambiwa mungu aliumba mbingu na nchi, waliumba.
 
Mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu inabidi tutumie mtindo huu kama msemo huu usemavyo: kuruka kutoka kwenye kikaango chenye mafuta ya moto bila kujali kama utaangukia kwenye moto. Uamuzi huu unaweza kupeleka kwenye moto au pazuri jamani. Cha msingi turuke kutoka kwenye kuungua na mafuta haya yasiyo poa! Tukishindwa njia hii basi tuwe "revolutionary" maanake mabadiliko lazima. Kwa kifupi tuwe "radicals" i.e. radical voters aidha anarchical (maamuzi lazima mabadiliko bila kujali matokeo) or revolutionary (mabadiliko lazima na kujali matokeo - lakini mabadiliko lazima)!
 
Son,

As far as I am concerned usipopiga kura against CCM umepiga kura for CCM. That goes for the diaspora crowd that sadly doesn't vote either due to circumstances or nonchalant attitudes, as well as for the TZ massive.

Mie sijawahi kuipigia kura CCM directly, lakini kwa kutokuwepo bongo na kuipinga CCM directly -pamoja na kupigia chama kingine- naona ni sawa na kuipigia kura CCM.

Plurals nyingine ni za usanifu kama vile kwenye Quran unapoambiwa mungu aliumba mbingu na nchi, waliumba.

Kwenye bold ndio mziziz wa shida hii yote! Hapo ndipo panapohitaji mwamko!
 
Back
Top Bottom