Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,383
- 217,467
Na hili ni angalizo ninalowapa wale wote wanaodhani Chadema ni chama cha mchezo mchezo , kama ulibahatika kupewa nafasi na chama hiki usije ukadhani ni kwa umaarufu binafsi, utakuwa unajidanganya sana, hiki chama kimejengwa kwenye msingi wa Mawe makubwa sana, hakuna kimbunga wala upepo wa kukiangusha, na hii ndio sababu ya CCM kuendelea kutumia polisi kukidhibiti, hasa baada ya kushindwa kwenye jukwaa la kidemokrasia.
Natoa wito kwa Wote mnaohama Chadema baada ya kuzidiwa na mateso ya siasa za upinzani, siasa za mateso ya jela na mauaji au baada ya kununuliwa ama kuahidiwa nafuu zozote kama vile kurudishiwa mashamba na kufutiwa madeni, ni vema mkajikalia kimya tu, maana mkichafua hali ya hewa Mtakimbia nchi yenu, hatutawaachia upenyo hata chembe.
Natoa wito kwa Wote mnaohama Chadema baada ya kuzidiwa na mateso ya siasa za upinzani, siasa za mateso ya jela na mauaji au baada ya kununuliwa ama kuahidiwa nafuu zozote kama vile kurudishiwa mashamba na kufutiwa madeni, ni vema mkajikalia kimya tu, maana mkichafua hali ya hewa Mtakimbia nchi yenu, hatutawaachia upenyo hata chembe.