Wakati mwingine Connections ni chanzo cha kukosa ajira

Naja naja

JF-Expert Member
Sep 13, 2016
747
1,452
Wakati mwingine kujuana na watu wengi (kuwa na chain/connection ya watu wengi) ni sababu tosha ya kukukosesha ajira.

Baadhi ya sehemu watu wanajipatia pesa kwa njia za ujanja ujanja sasa ukienda kuomba kazi na wakikuchunguza unajuana na watu wengi ni rahisi sana kukukosesha kazi hata kama wewe huna tatizo lolote.

Jitahidi sana usijichanganye changanye hovyo na watu haswa watu wa mtaani kwako angalau ujichanganye na watu wanaoishi makazi mbali na wewe.
 
Sasa hivi mzee conection lazima japo si kwamba wasio na conection hawapati no.
 
Baada ya wewe kutafuta connection kwanini wewe usiwe connector uconnect wengine.

Ukiwa connector basi kila kitu utajiconnect mwenyewe.
 
Connection,
connection,
connection,
connection.
Hili mwalimu angekuwepo angelichukia sana, limekaa ki rushwa rushwa.
 
Mkuu,?
Thread zako izi!!!
"Wakati mwingine sio dhambi kujinyonga,
Wakati mwingine , connection hazifai"
??
👨🏼‍🔧
 
Baada ya wewe kutafuta connection kwanini wewe usiwe connector uconnect wengine.

Ukiwa connector basi kila kitu utajiconnect mwenyewe.
Utakuwa connector bila kuwa na nafasi nzuri ndugu yangu?
 
Kuna kitu nimejifunza....hizi kazi za ki connectiwaa na ndugu au jamaa huwa nizalawama Sanaa.
 
Back
Top Bottom