Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,670
---Shukrani kwa wote wale waliochangamsha Forum yetu tulicheka na kufurahi..
---Shukran pia ziwaendee wale wote waliotoa zingatio ambalo liliwagusa wengine na wengine kubadilika,
---Shukrani kwa wale ambao forum yetu haikuwatendea haki kwa kukutana na kadhia ya baadhi ya nyuzi zao kufutwa kwa makosa lakini hawakujitoa wakaonyesha uvumilivu
---Shukrani pia ziwaendee wale walioombaa kwa niaba yetu maombi yenu yametufikisha hapa tulipo,
---Shukrani kwa wale waliotunza amani utulivu upendo na kutuliza jazba hasira kwenye forum yetu kwa busara zao,
---Shukrani Kwa wale waliotujuza kwa breaking news za ukweli na uongo habari za huzuni na za furaha,
---Shukrani zije kwako wewe usiyetaka kuchangia kitu hata kama kunakuwa na mjadala mzito,
---Shukrani kwa wale wanatupiaga vivideo na vipicha visivyotija hali wanajua bando la internet liko juu,
---Shukrani kwa wote wale wapitaji wao ni kuangalia tu hawachangii wala kushauri
---Shukrani kwa wale wanaotaka kila mtu akubaliane na wazo lake anaempinga yeye anamwona kama msaliti, mjinga na mpumbavu,
Mungu ni mwema, tumuombe atuvushe salama
---Shukran pia ziwaendee wale wote waliotoa zingatio ambalo liliwagusa wengine na wengine kubadilika,
---Shukrani kwa wale ambao forum yetu haikuwatendea haki kwa kukutana na kadhia ya baadhi ya nyuzi zao kufutwa kwa makosa lakini hawakujitoa wakaonyesha uvumilivu
---Shukrani pia ziwaendee wale walioombaa kwa niaba yetu maombi yenu yametufikisha hapa tulipo,
---Shukrani kwa wale waliotunza amani utulivu upendo na kutuliza jazba hasira kwenye forum yetu kwa busara zao,
---Shukrani Kwa wale waliotujuza kwa breaking news za ukweli na uongo habari za huzuni na za furaha,
---Shukrani zije kwako wewe usiyetaka kuchangia kitu hata kama kunakuwa na mjadala mzito,
---Shukrani kwa wale wanatupiaga vivideo na vipicha visivyotija hali wanajua bando la internet liko juu,
---Shukrani kwa wote wale wapitaji wao ni kuangalia tu hawachangii wala kushauri
---Shukrani kwa wale wanaotaka kila mtu akubaliane na wazo lake anaempinga yeye anamwona kama msaliti, mjinga na mpumbavu,
Mungu ni mwema, tumuombe atuvushe salama