Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wapenzi na wanachama wa Chadema:
Kutokana na vita hii kali ya maneno kati ya CDM na CCM, naona imefika wakati muafaka kwa CDM kuweka hadharani ufisadi wote wa EPA -- jinsi CCM ilivyonufaika na mapesa hayo ya wananchi yaliyochotwa kwa ruhusa ya serikali ya CCM.
Hapa nina maana kwamba ule ushahidi wa Jeetu Patel uwekwe hadharani -- maana katika sdtatement yake kwa kamati ya rais kuhusu uchotaji wa EPA, Jeetu Patel (aliyehojiwa na kamati hiyo) alieleza mengi -- ni nani na nani waliohusika na kupokea mapesa hayo.
Hii itasadia kutafuta haki ambayo inaonoekana kufichwa sana na usiri mkubwa wa serikali ya CCM -- kitu ambacho ni hatari kwa amani yetu.
Nasema kila itu kiwe hadharani na isiogopwe ile dhana ya eti ni kuingilia mahakama. Hii dhana ndiyo inawasaidia sana serikali ya CCM na mafisadi kuwaficha wananchi kile kilichotokea -- kwani kesi zenyewe ni magumashi tu.
Namuomba Marando amwage siri yote ili kina Nape wafunge midomo yao mipana!!!
Kutokana na vita hii kali ya maneno kati ya CDM na CCM, naona imefika wakati muafaka kwa CDM kuweka hadharani ufisadi wote wa EPA -- jinsi CCM ilivyonufaika na mapesa hayo ya wananchi yaliyochotwa kwa ruhusa ya serikali ya CCM.
Hapa nina maana kwamba ule ushahidi wa Jeetu Patel uwekwe hadharani -- maana katika sdtatement yake kwa kamati ya rais kuhusu uchotaji wa EPA, Jeetu Patel (aliyehojiwa na kamati hiyo) alieleza mengi -- ni nani na nani waliohusika na kupokea mapesa hayo.
Hii itasadia kutafuta haki ambayo inaonoekana kufichwa sana na usiri mkubwa wa serikali ya CCM -- kitu ambacho ni hatari kwa amani yetu.
Nasema kila itu kiwe hadharani na isiogopwe ile dhana ya eti ni kuingilia mahakama. Hii dhana ndiyo inawasaidia sana serikali ya CCM na mafisadi kuwaficha wananchi kile kilichotokea -- kwani kesi zenyewe ni magumashi tu.
Namuomba Marando amwage siri yote ili kina Nape wafunge midomo yao mipana!!!