BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kuna siku niliweka mshangao wangu hapa bei ya mafuta ya Uganda ni ndogo kuliko Diesel ama petrol inayouzwa Tanzania. Nikawaza haya Malori yanayosomba mafuta wanasema wanapeleka Uganda wanabeba mafuta ama ulezi.
Leo naomba nieleze bei za gesi hapa nchini
Kumekuwa na mtafaruku sana hapa kati kwanini Oryx awataki kupunguza bei ya gesi yao wakati Mihan aka gesi ya taifa inauzwa kwa bei nzuri kabisa?
Mh Waziri wa Nishati kama unaweza kaa na Oryx wape mwelekeo na bei elekezi. Kwa wanaokumbuka mimi ni mmoja wa wadau wa gesi na nimekaa nao sana vikao niwape tu siri kuna kipindi ilibidi Mihan waungane kuwa na bei moja na Oryx ingawa walikuwa wako chini zaidi ya Oryx
Hapa kati ilipokuja gesi ya taifa walipokaa kushusha bei Oryx hawakukubali pamoja na Mihan kutoa vigezo vya kwanini wapunguze gesi bado wakashikilia bei zao.
Wananchi wengi walishanunua mitungi ya Oryx gas huko nyuma. Tunaomba taifa gas wakubali kupokea mitungi ya Oryx wakapige rangi wananchi wengi wanatamani kubadilisha lakni wamwamekuwa wakiwaza hili jambo
Wananchi watanzania tunaungana na wamiliki wa gesi ya taifa kwa kuona umuhimu wa wananchi kutumia gesi nzuri na inayokaa tofauti na misemo ya huko nyuma
Tunaomba Mh. waziri wakati muafaka Oryx wawe na bei sawa na taifa gas wananchi waweze kufurahia na kunufaika na kile watakachoweza kununua
Ahsanteni sana
Leo naomba nieleze bei za gesi hapa nchini
Kumekuwa na mtafaruku sana hapa kati kwanini Oryx awataki kupunguza bei ya gesi yao wakati Mihan aka gesi ya taifa inauzwa kwa bei nzuri kabisa?
Mh Waziri wa Nishati kama unaweza kaa na Oryx wape mwelekeo na bei elekezi. Kwa wanaokumbuka mimi ni mmoja wa wadau wa gesi na nimekaa nao sana vikao niwape tu siri kuna kipindi ilibidi Mihan waungane kuwa na bei moja na Oryx ingawa walikuwa wako chini zaidi ya Oryx
Hapa kati ilipokuja gesi ya taifa walipokaa kushusha bei Oryx hawakukubali pamoja na Mihan kutoa vigezo vya kwanini wapunguze gesi bado wakashikilia bei zao.
Wananchi wengi walishanunua mitungi ya Oryx gas huko nyuma. Tunaomba taifa gas wakubali kupokea mitungi ya Oryx wakapige rangi wananchi wengi wanatamani kubadilisha lakni wamwamekuwa wakiwaza hili jambo
Wananchi watanzania tunaungana na wamiliki wa gesi ya taifa kwa kuona umuhimu wa wananchi kutumia gesi nzuri na inayokaa tofauti na misemo ya huko nyuma
Tunaomba Mh. waziri wakati muafaka Oryx wawe na bei sawa na taifa gas wananchi waweze kufurahia na kunufaika na kile watakachoweza kununua
Ahsanteni sana