kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 5,977
- 9,063
Naona makolo fc mnapeana moyo baada ya Bugatti kuwaumiza mikia nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Kunishobokea hovyo Wewe Authentic Moron sawa? Mbona hao Wanaokuchomokea 'Kibaiolojia' 24/7 huko Afrika Kusini unakozibua Vyoo na Kufua Nguo Chafu za Makaburu Wazee huko huwataji?
Kama kujifanya kote Mjanja na umetenbea na kuishi nchi nyingi Kuandika vyema Jina la Esther umeshindwa na Umeandika Easter ya nini nipoteze muda nawe Juha?
Hopeless Wewe.....
Tangu wahuni wakuzibue mtaro, kila mtu unaona ana tabia kama zako za kupumuliwa nyumaKimojawapo ni kile ambacho yule Janaa huwa anakupindia na akimaliza Macho yako hulegea sana.
Unaona kiwango chako cha kufikiri kilivyo chini; nani kakwambia wasomi huaga hawafukuzwi kazi? Profesa Muhongo ni miongoni mwa maprofesa waliobobea katika fani ya Jiolojia hasa upande wa exploration, kafukuzwa kazi mara 2. Nimeona nimtaje port wako 1 badala ya kujikita kwa makabila mengine. Jinga wewe. JokeEti Haji Manara ni Msomi na Bingwa wa Propaganda ya Kusomea nchini China. Kuna Watu ni Fools hapa hadi nawaza kwanini Covid-19 hajjaondoka nanyi.
Angesoma angefukuzwa Redio ya CCM pale Lumumba na Vyeti vyake vya Taaluma kuwa na Ulakini? Manara mkimsifia ni Bingwa wa Propaganda akina Nape, Makamba na Nchimbi wao watakuwa nani?
labda alisomea propaganda maandazi... hivi unajua maana ya propaganda wewe? anachofanya haji sio propaganda, ila kajitoa ufahamu kwa ajili ya kushibisha tumbo lakeUkiifatilia elimu ya Haji S. Manara hasa ile aliokwenda isomea China wala hutapata shida kumuelewa Haji, haji sio mjinga kama watu wanavyotaka ieleweke, Haji ni msoni, Haji ni mtoto wa mjini, tena mjini kweli. China alikwenda kusomea PROPAGANDA na anacho kifanya au ambacho amekua akikifanya siku zote kwenye tasnia ya sports ni PROPAGANDA na kafanikiwa sana, hongera Haji, Hongera Yanga, hongera Simba na hongera wazazi wake Haji but shukrani za pekee zimwendee either aliyetoa wazo au na aliyelipa ada ya masomo yake huko China.
Kwa hio Haji ni msomi?Unaona kiwango chako cha kufikiri kilivyo chini; nani kakwambia wasomi huaga hawafukuzwi kazi? Profesa Muhongo ni miongoni mwa maprofesa waliobobea katika fani ya Jiolojia hasa upande wa exploration, kafukuzwa kazi mara 2. Nimeona nimtaje port wako 1 badala ya kujikita kwa makabila mengine. Jinga wewe. Joke
Tafadhali huyo 'Dunce' akikujibu nitagi.Kwa hio Haji ni msomi?
Weka Jina la chuo alichosomea hizo propaganda huko ChinaUkiifatilia elimu ya Haji S. Manara hasa ile aliokwenda isomea China wala hutapata shida kumuelewa Haji, haji sio mjinga kama watu wanavyotaka ieleweke, Haji ni msoni, Haji ni mtoto wa mjini, tena mjini kweli. China alikwenda kusomea PROPAGANDA na anacho kifanya au ambacho amekua akikifanya siku zote kwenye tasnia ya sports ni PROPAGANDA na kafanikiwa sana, hongera Haji, Hongera Yanga, hongera Simba na hongera wazazi wake Haji but shukrani za pekee zimwendee either aliyetoa wazo au na aliyelipa ada ya masomo yake huko China.
Nyerere alisoma Uingereza but ukiniuliza jina la chuo alicho soma sikijui, Mwinyi kasoma pia Uingereza (nimejua juzi hi ) but ukiniuliza chuo alichosomea hata sikijui, profesa Muhongo ni mtaalamu wa jiolojia kwa level ya profesa but hata yeye sijui huo uprofesa au phd yake aliipatia chuo gani pia sijui, nk nk, kujua au kutokujua chuo alicho soma mtu sio udhaifu but pia haiondoi maana kwamba huyo mtu kasoma au hakusoma; kazi ya kutafuta chuo alicho somea Haji nakuachia wewe cause to me is not even a point to discussWeka Jina la chuo alichosomea hizo propaganda huko China
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mkuu, kwani wewe unafanya kazi ili iwe nini kama sio kushibisha TUMBO lako? Wazalendo nchi sidhani kama wanafika hata 1000, wengi tunapenda wengine wawe wazalendo kwa nchi yetu but washauri wa uzalendo wao wenyewe hawawezi kuuishi uzalendo. Mifano ya hilo iko mingi, angalia vijana wengi wanaoshabikia ccm halafu soma HOJA zao, pointless kabisa but sometimes mtu unaamua tu kuwasamehe cause njaa hainaga baunsa. Wengi wanao mponda Haji ni wale wale waliokua mashabiki wake enzi akiwa Simba, ukimsikiliza Haji wa leo hajabadirika kwa maana ya style yake ya kuongea, ni ile ile since akiwa Uhuru publications na hata akiwa Simba ambako ndio alijijengea umaarufu nadhani kuliko wakati wote, Haji yupo vile vile, but wale wale waliokua wakimuunga mkono kwa matamshi yake ndio hao hao leo wanamkejeri hadi kumwita Msukule, to me this is more than stupidity.labda alisomea propaganda maandazi... hivi unajua maana ya propaganda wewe? anachofanya haji sio propaganda, ila kajitoa ufahamu kwa ajili ya kushibisha tumbo lake
Wacha upuuzi, Genta amesema amefukuzwa kwa vyeti vyake kua na walakini (kasoro/maswali) ambapo inaweza kuwa ni vya kughushi, usifananishe prof Muhongo na takatakaUnaona kiwango chako cha kufikiri kilivyo chini; nani kakwambia wasomi huaga hawafukuzwi kazi? Profesa Muhongo ni miongoni mwa maprofesa waliobobea katika fani ya Jiolojia hasa upande wa exploration, kafukuzwa kazi mara 2. Nimeona nimtaje port wako 1 badala ya kujikita kwa makabila mengine. Jinga wewe. Joke
CAF wanachoangalia ni benchi la ufundi na wachezaji na majina ya wahusika yote yanawasilishwa .Nimemsikia Manara akisema wataandika barua CAF kupitia TFF huku akijitetea kuwa hakuna mashabiki walioingia bali ni wachezaji na viongozi wale kina madee sijui wako kundi gani labda la waganga wa kienyeji wakati huohuo Bumbuli amekiri yanga kupokea barua tarehe 5 na ni kweli hawakuijibu ule uweledi wa Senzo sijui uko wapi ndio maana alitaka kuwaingiza chaka Simba swala la Kichuya
Wanabisha kitu kinachoonekana waziCAF wanachoangalia ni benchi la ufundi na wachezaji na majina ya wahusika yote yanawasilishwa .
Yanga wameingiza viongozi kwenye jukwaa la VIP ambayo inahesabika ka ma mashabiki tu,kina Mwakalibela ,Madee,Manara sehemu waliyokaa walikaa kama mashabiki na hawapungui 30 ,wasizingue watu
Weka nukuu ya jamaa yako hapa kwamba Haji alifukuzwa kwa kua na vyeti feki; usimlishe maneno!Wacha upuuzi, Genta amesema amefukuzwa kwa vyeti vyake kua na walakini (kasoro/maswali) ambapo inaweza kuwa ni vya kughushi, usifananishe prof Muhongo na takataka
Wa kulaumiwa ni Simba kwa kuwatupia mbeleko ya kushiriki CAF CL,hawa wenyewe lengo lao ni kuifunga Simba tu na si zaidi ya hapo.Wanalitia hasara/fedhea/aibu taifa kwa mara nyingine. Uto bhana! watajua hawajui!