Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Kenge ni kenge tu hata umkate mkia!!!Hawa jamaa wanasahau kwamba walitengeneza flyers za kuwakaribisha mashabiki uwanjani wakaweka na bei tena wakapost kwenye official pages za team
Kenge ni kenge tu hata umkate mkia!!!Hawa jamaa wanasahau kwamba walitengeneza flyers za kuwakaribisha mashabiki uwanjani wakaweka na bei tena wakapost kwenye official pages za team
Labda CAf walikuwa hawaoni hivi vitu au rivers utd hawakuona maana walipost hadi kwenye page official twitter na insta na facebook, yaani watu hawajaruhusiwa kuingiz amashabiki kibabe wanaamua wanavyotaka wao, wshazoea kuwashika sharubu Tff sasa wanapimana ubavu na CafKenge ni kenge tu hata umkate mkia!!!
Narudia tenaMkuu hawa Jamaa ni Wapuuzi hawana mfano. Wanadhani CAF ni kama TFF walioizoea na Kuipelekesha watakavyo.
Na wakizubaa hivyo Faini itaongezeka.