johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Dkt. Kigwangalla na Azzan Zungu ndio walikuwa na dhamana ya kulinda misitu yetu ili kutuepusha na janga la uhaba wa mvua unaopelekea ukame.
Wawili hawa ndio wanampa wakati mgumu Waziri Juma Aweso hadi kupelekea mgao wa maji.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Wawili hawa ndio wanampa wakati mgumu Waziri Juma Aweso hadi kupelekea mgao wa maji.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!