johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
- Thread starter
- #61
Mchungaji Msigwa anaitamani sana CCM!Nimepita hapo wiki ya jana .CCM mmelazimisha kutundika bendera barabara kuu yote.Kuna mtu karibia anaingizwa mjini.Lazima alikuwa Pinda,Salim Asas au mnamsubiri Lowassa.Kitu kimoja ninachowapendea Hehes ni ukweli. Anakuchekea machoni,kwenye kukupigia kura mtachezeshwa kiduo ninyi vibaka wa CCM. Beautiful!