kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Kama unamwona Lowasa mzima wa afya basi we ndo mgonjwa!Leo ndio mgonjwa?!....... Mbona Tundu Antipas Lisu anachanja mbuga huko duniani kwani amepona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unamwona Lowasa mzima wa afya basi we ndo mgonjwa!Leo ndio mgonjwa?!....... Mbona Tundu Antipas Lisu anachanja mbuga huko duniani kwani amepona?
Sawa Amber Rutty , umesomekaSiasa za bongo zinafurahisha sana, wakati Mwenyekiti wa Chadema mzee Mbowe akipigania dhamana yake mahakamani ili aweze kurudi uraiani aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho kabla ya kurejea CCM mzee Lowassa anatarajiwa kuanza ziara za kichama mikoani.
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!
Mbona alikatazwa kuwasalimia akiwa Chadema!Siasa za bongo zinafurahisha sana, wakati Mwenyekiti wa Chadema mzee Mbowe akipigania dhamana yake mahakamani ili aweze kurudi uraiani aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho kabla ya kurejea CCM mzee Lowassa anatarajiwa kuanza ziara za kichama mikoani.
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!
Si alikatazwa kufanya Mikutano ya Ki Siasa huyu ?Siasa za bongo zinafurahisha sana, wakati Mwenyekiti wa Chadema mzee Mbowe akipigania dhamana yake mahakamani ili aweze kurudi uraiani aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho kabla ya kurejea CCM mzee Lowassa anatarajiwa kuanza ziara za kichama mikoani.
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!
Siasa za bongo zinafurahisha sana, wakati Mwenyekiti wa Chadema mzee Mbowe akipigania dhamana yake mahakamani ili aweze kurudi uraiani aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho kabla ya kurejea CCM mzee Lowassa anatarajiwa kuanza ziara za kichama mikoani.
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!
Hapana ataanzia Iringa mjini!
Leo ndio mgonjwa?!....... Mbona Tundu Antipas Lisu anachanja mbuga huko duniani kwani amepona?
Hamsahau tu jamani, kesharudi atachunga wenye mikia sasa.Huyu Mzee si alisema akishidwa urais anaenda kuchunga ngombe wake?
Kwa uzee ule na uongo wake aendi mbinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
That closing line😳😳Maendeleo hayana vyama!
hayo ulipaswa uyaseme kabla hajahamaHuyu Mzee si alisema akishidwa urais anaenda kuchunga ngombe wake?
Kwa uzee ule na uongo wake aendi mbinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anaenda kuwasalimia wana CCM katibu Mwenezi ndugu Chakubanga asikose kwenye hizo ziara ili amtambulishe kwa wanaCCM na pia atakapofika Geita ndugu Msukuma akiwa kama Mwenyekiti wa Chama Mkoa awe màkao Makuu ya Mkoa kumpokea na kumtambulisha kwa Wanachama.Umeambiwa anaenda kuwasalimia wanaccm uwe unaelewa!
Anachokitafuta atakipata soonHuyu mzee tulikiwa tunamheshimu sana kumbe hamnazo!! angekuwa mstaarabu asingestaafu siasa akapumzika...kitendo cha kuwaumiza hivyo wana Upinzani ni nino hasa lengo lake?
Hahahaa......... Dau la kuku!