johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,793
- 141,687
Siasa za bongo zinafurahisha sana, wakati Mwenyekiti wa Chadema mzee Mbowe akipigania dhamana yake mahakamani ili aweze kurudi uraiani aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho kabla ya kurejea CCM mzee Lowassa anatarajiwa kuanza ziara za kichama mikoani.
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!
Lengo la ziara hizo ni kuwasalimia wanaccm na kushuhudia mamia ya wafuasi wa CCM waliosombwa na mafuriko ya Lowassa mwaka 2015 wakiachana na Chadema na kurejea nyumbani CCM kulikonoga.
Ufipa wanateseka sana na Lowassa
Maendeleo hayana vyama!