Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,486
- 51,063
Hii ni bias ya namna gani, inatuma meseji gani kwa wananchi, kwamba Masheikh ambao hakuna kesi yoyote ya msingi wala ushahidi wa jinai dhidi yao leo wanaozea jela miaka zaidi ya SABA sasa, lakini leo mchungaji wa kikiristo, ambaye ana tuhuma za kuendesha jambo lililopelekea watu takriban 20 kufa anaachiwa kwa dhamana,
Je, hii inatuma meseji gani kwa wananchi? Kwamba hakuna utendaji wa haki katika masuala ya sheria nchini? na kwamba suala linapogusa watu wa imani moja linaangaliwa kwa kukomoa na bila kujali, lakini linapogusa watu wa imani nyingine hilo linafumbiwa macho?
Hata bunge linagoma kujadili vifo hivi vya wananchi kwa sababu zinazoonekana kabisa kuwa kuna harufu ya udini na kukingiana kifua kwa mirengo ya kidini
Waislamu wanaona haya mambo, na hawafurahishwi.
Wamesema, wamesihi wamenasihi sana kuhusu masheikh wao lakini hawakusikilizwa
SASA wamemuachia MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI FANYENI MNAVYOWEZA, KISHA TUONE MWISHO WENU KATIKA HII ARDHI YA MUNGU UTAKUWAJE!
Je, hii inatuma meseji gani kwa wananchi? Kwamba hakuna utendaji wa haki katika masuala ya sheria nchini? na kwamba suala linapogusa watu wa imani moja linaangaliwa kwa kukomoa na bila kujali, lakini linapogusa watu wa imani nyingine hilo linafumbiwa macho?
Hata bunge linagoma kujadili vifo hivi vya wananchi kwa sababu zinazoonekana kabisa kuwa kuna harufu ya udini na kukingiana kifua kwa mirengo ya kidini
Waislamu wanaona haya mambo, na hawafurahishwi.
Wamesema, wamesihi wamenasihi sana kuhusu masheikh wao lakini hawakusikilizwa
SASA wamemuachia MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI FANYENI MNAVYOWEZA, KISHA TUONE MWISHO WENU KATIKA HII ARDHI YA MUNGU UTAKUWAJE!