The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Ile kauli kua you can't have it all hapa Tanzania haina nafasi. Huku Tanzania wasanii wetu wana kila kitu. Utunzi, uimbaji au uigizaji, uandishi, uongozaji, mapambo na kila kitu.
Wasanii wetu hawataki kushirikishana, mwingine atunge, mwingine aimbe, mtu anataka kufanya yote yeye mwenyewe.
Mada inaendelea.
Wasanii wetu hawataki kushirikishana, mwingine atunge, mwingine aimbe, mtu anataka kufanya yote yeye mwenyewe.
Mada inaendelea.