joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app