Wakati kesho ndio siku ya mwisho ya Barrick kuinunua Acacia, leo Acacia yapiga a final kick of a dying horse, yatoa taarifa ya kupata faida kubwa!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,445
113,456
Wanabodi,
Kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kuonyesha nia ya dhati ya kuinunua Acacia katika hostile take over kupitia utaratibu unaitwa put up or shut up' (PUSU) deadline kwa Barrick kutoa tangazo la kifo cha Acacia kwa kuinunua kwa fedha kiduchu kwa hoja kuwa Acacia ni kampuni ya hasara tupu na risk company, siku ya leo Acacia, ametoa taarifa ya kuonyesha anapata faida kubwa.

Kuna msemo wa kizungu unasema kwa kawaida farasi kabla hajafa, huwa anarusha teke la mwisho ndipo anakufa, ikitokea teke hilo likakupata, na wewe safari ni hapo hapo!, mnaondoka pamoja!.
Hivyo kwa vile kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kutangaza offer ya mwisho kuinunua Acacia na kuiua rasmi, kabla ya kesho, leo Acacia amerusha teke la mwisho la a dying horse kuonyeshea anapata faida kubwa, ili kama Barrick asipoongeza dau, Acacia waendelee kukomaa tuu na serikali ya Tanzania, ambayo licha ya taarifa za serikali yetu kutoitambua Acacia, lakini serikali inaendelea kuvuta mpunga wa Acacia kwa upande wa kodi na mrahaba.

Hii ndio taarifa ya Acacia

Taarifa kuwa serikali yetu bado inavuta mpunga wa Acacia ni hii hapa

Pia ili Barrick kuhalalisha kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu, kuna media za kimataifa zimepelekewa taarifa za uwongo na uzushi kuihusu Acacia ili ziichafue uizwe kama sadaka, Acacia imezikanusha taarifa hizo kuwa ni uwongo na uzushi.
Kanusho la Acacia ni hili

A Way Forward.
Wakati wowote kuanzia sasa, yaani kati ya leo na kesho ambayo ndio deadline, Barrick watatangaza firm final offer ya kuinunua Acacia, na Acacia watatakiwa kujibu kama wanakubali kununuliwa au laa.
Acacia wakikubali kununuliwa, huu ndio unakuwa mwisho wa Acacia, Barrick itaimiliki Acacia kwa asilimia 100%, sisi Tanzania tutalipwa kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, ambazo sasa ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni hewa la dola bilioni 190 za Noah zetu. Acacia itavunjwa, na kuundwa kampuni mpya ya ubio kati ya Tanzania na Barrick ambapo serikali itakuwa na hisa asilimia 16%, Watanzania wataingia kwenye bodi na menejiment, na tutagawana manufaa ya kiuchumi pasu kwa pasu, yaani 50/50.

Acacia akikataa offer ya Barrick, kitakachofuata ni mtifuano...

Paskali
 
Hongera sana mkuu, utaendelea kutujuza, ingawa imani yetu ni haba sana katika hili swala Mining, sidhani kama sekta ya madini inaweza inaweza kutufikisha pale tunapoaminishwa. Kuna mambo meng sana ya tunadanganywa kuhusu hii issue, ila muda utaongea
 
Wanabodi,
Kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kuonyesha nia ya dhati ya kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu kwa hoja kuwa Acacia ni harasa tupu na risk company, siku ya leo Acacia, ametoa taarifa ya kuonyesha anapata faida kubwa.

Kuna msemo wa kizungu unasema kwa kawaida farasi kabla hajafa, huwa anarusha teke la mwisho ndipo anakufa, ikitokea teke hilo likakupata, na wewe safari ni hapo hapo!, mnaondoka pamoja!.
Hivyo kwa vile kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kutangaza offer ya mwisho kuinunua Acacia na kuiua rasmi, kabla ya kesho, leo Acacia amerusha teke la mwisho la a dying horse kuonyeshea anapata faida kubwa, ili kama Barrick asipoongeza dau, Acacia waendelee kukomaa tuu na serikali ya Tanzania, ambayo licha ya taarifa za serikali yetu kutoitambua Acacia, lakini serikali inaendelea kuvuta mpunga wa Acacia kwa upande wa kodi na mrahaba.

Hii ndio taarifa ya Acacia

Taarifa kuwa serikali yetu bado inavuta mpunga wa Acacia ni hii hapa

Pia ili Barrick kuhalalisha kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu, kuna media za kimataifa zimepelekewa taarifa za uwongo na uzushi kuihusu Acacia ili ziichafue uizwe kama sadaka, Acacia imezikanusha taarifa hizo kuwa ni uwongo na uzushi.
Kanusho la Acacia ni hili

A Way Forward.
Wakati wowote kuanzia sasa, yaani kati ya leo na kesho ambayo ndio deadline, Barrick watatangaza firm final offer ya kuinunua Acacia, na Acacia watatakiwa kujibu kama wanakubali kununuliwa au laa.
Acacia wakikubali kununuliwa, huu ndio unakuwa mwisho wa Acacia, Barrick itaimiliki Acacia kwa asilimia 100%, sisi Tanzania tutalipwa kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, ambazo sasa ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni hewa la dola bilioni 190 za Noah zetu. Acacia itavunjwa, na kuundwa kampuni mpya ya ubio kati ya Tanzania na Barrick ambapo serikali itakuwa na hisa asilimia 16%, Watanzania wataingia kwenye bodi na menejiment, na tutagawana manufaa ya kiuchumi pasu kwa pasu, yaani 50/50.

Acacia akikataa offer ya Barrick, kitakachofuata ni mtifuano...

Paskali
obviously Acacia atakataa offer ya Barrick. back to square one na sarakasi zitaanza upyaa.

meanwhile, kesi iliyofunguliwa majuu na Acacia inaendelea and, again, obviously Acacia atashinda... after which the situation will revert back to where it was before Mruma & co's intervention.

wazungu si wajinga kama wakolomije!
 
obviously Acacia atakataa offer ya Barrick. back to square one na sarakasi zitaanza upyaa.

meanwhile, kesi iliyofunguliwa majuu na Acacia inaendelea and, again, obviously Acacia atashinda... after which the situation will revert back to where it was before Mruma & co's intervention.

wazungu si wajinga kama wakolomije!
Hivi hiyo kesi serikali huwa inapeleka mawakili? Maana tuliambiwa hawaitambui Acacia
 
Wanabodi,
Kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kuonyesha nia ya dhati ya kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu kwa hoja kuwa Acacia ni hasara tupu na risk company, siku ya leo Acacia, ametoa taarifa ya kuonyesha anapata faida kubwa.

Kuna msemo wa kizungu unasema kwa kawaida farasi kabla hajafa, huwa anarusha teke la mwisho ndipo anakufa, ikitokea teke hilo likakupata, na wewe safari ni hapo hapo!, mnaondoka pamoja!.
Hivyo kwa vile kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kutangaza offer ya mwisho kuinunua Acacia na kuiua rasmi, kabla ya kesho, leo Acacia amerusha teke la mwisho la a dying horse kuonyeshea anapata faida kubwa, ili kama Barrick asipoongeza dau, Acacia waendelee kukomaa tuu na serikali ya Tanzania, ambayo licha ya taarifa za serikali yetu kutoitambua Acacia, lakini serikali inaendelea kuvuta mpunga wa Acacia kwa upande wa kodi na mrahaba.

Hii ndio taarifa ya Acacia

Taarifa kuwa serikali yetu bado inavuta mpunga wa Acacia ni hii hapa

Pia ili Barrick kuhalalisha kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu, kuna media za kimataifa zimepelekewa taarifa za uwongo na uzushi kuihusu Acacia ili ziichafue uizwe kama sadaka, Acacia imezikanusha taarifa hizo kuwa ni uwongo na uzushi.
Kanusho la Acacia ni hili

A Way Forward.
Wakati wowote kuanzia sasa, yaani kati ya leo na kesho ambayo ndio deadline, Barrick watatangaza firm final offer ya kuinunua Acacia, na Acacia watatakiwa kujibu kama wanakubali kununuliwa au laa.
Acacia wakikubali kununuliwa, huu ndio unakuwa mwisho wa Acacia, Barrick itaimiliki Acacia kwa asilimia 100%, sisi Tanzania tutalipwa kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, ambazo sasa ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni hewa la dola bilioni 190 za Noah zetu. Acacia itavunjwa, na kuundwa kampuni mpya ya ubio kati ya Tanzania na Barrick ambapo serikali itakuwa na hisa asilimia 16%, Watanzania wataingia kwenye bodi na menejiment, na tutagawana manufaa ya kiuchumi pasu kwa pasu, yaani 50/50.

Acacia akikataa offer ya Barrick, kitakachofuata ni mtifuano...

Paskali
Siku zote napenda post za hivi; well detailed.
 
Wanabodi,
Kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kuonyesha nia ya dhati ya kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu kwa hoja kuwa Acacia ni hasara tupu na risk company, siku ya leo Acacia, ametoa taarifa ya kuonyesha anapata faida kubwa.

Kuna msemo wa kizungu unasema kwa kawaida farasi kabla hajafa, huwa anarusha teke la mwisho ndipo anakufa, ikitokea teke hilo likakupata, na wewe safari ni hapo hapo!, mnaondoka pamoja!.
Hivyo kwa vile kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kutangaza offer ya mwisho kuinunua Acacia na kuiua rasmi, kabla ya kesho, leo Acacia amerusha teke la mwisho la a dying horse kuonyeshea anapata faida kubwa, ili kama Barrick asipoongeza dau, Acacia waendelee kukomaa tuu na serikali ya Tanzania, ambayo licha ya taarifa za serikali yetu kutoitambua Acacia, lakini serikali inaendelea kuvuta mpunga wa Acacia kwa upande wa kodi na mrahaba.

Hii ndio taarifa ya Acacia

Taarifa kuwa serikali yetu bado inavuta mpunga wa Acacia ni hii hapa

Pia ili Barrick kuhalalisha kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu, kuna media za kimataifa zimepelekewa taarifa za uwongo na uzushi kuihusu Acacia ili ziichafue uizwe kama sadaka, Acacia imezikanusha taarifa hizo kuwa ni uwongo na uzushi.
Kanusho la Acacia ni hili

A Way Forward.
Wakati wowote kuanzia sasa, yaani kati ya leo na kesho ambayo ndio deadline, Barrick watatangaza firm final offer ya kuinunua Acacia, na Acacia watatakiwa kujibu kama wanakubali kununuliwa au laa.
Acacia wakikubali kununuliwa, huu ndio unakuwa mwisho wa Acacia, Barrick itaimiliki Acacia kwa asilimia 100%, sisi Tanzania tutalipwa kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, ambazo sasa ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni hewa la dola bilioni 190 za Noah zetu. Acacia itavunjwa, na kuundwa kampuni mpya ya ubio kati ya Tanzania na Barrick ambapo serikali itakuwa na hisa asilimia 16%, Watanzania wataingia kwenye bodi na menejiment, na tutagawana manufaa ya kiuchumi pasu kwa pasu, yaani 50/50.

Acacia akikataa offer ya Barrick, kitakachofuata ni mtifuano...

Paskali
Mbona walikuwa wanatangaza hasara mfululizo? Heko JPM
 
Kwa ufahamu mdogo tu nashindwa kuelewa mmeshindwa kuelewa mchezo wa Barrick na Acacia. Hakuna hata mmoja mwenye jema lao moja
Kwa ufupi wanacheza na akili za serikali ya awamu ya tano nanyi mnaungana kuuimba wimbo wanaoimba wao mkaamini.
Pascal Mayalla
 
Wanabodi,
Kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kuonyesha nia ya dhati ya kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu kwa hoja kuwa Acacia ni hasara tupu na risk company, siku ya leo Acacia, ametoa taarifa ya kuonyesha anapata faida kubwa.

Kuna msemo wa kizungu unasema kwa kawaida farasi kabla hajafa, huwa anarusha teke la mwisho ndipo anakufa, ikitokea teke hilo likakupata, na wewe safari ni hapo hapo!, mnaondoka pamoja!.
Hivyo kwa vile kesho ndio tarehe ya mwisho kwa Barrick kutangaza offer ya mwisho kuinunua Acacia na kuiua rasmi, kabla ya kesho, leo Acacia amerusha teke la mwisho la a dying horse kuonyeshea anapata faida kubwa, ili kama Barrick asipoongeza dau, Acacia waendelee kukomaa tuu na serikali ya Tanzania, ambayo licha ya taarifa za serikali yetu kutoitambua Acacia, lakini serikali inaendelea kuvuta mpunga wa Acacia kwa upande wa kodi na mrahaba.

Hii ndio taarifa ya Acacia

Taarifa kuwa serikali yetu bado inavuta mpunga wa Acacia ni hii hapa

Pia ili Barrick kuhalalisha kuinunua Acacia kwa fedha kiduchu, kuna media za kimataifa zimepelekewa taarifa za uwongo na uzushi kuihusu Acacia ili ziichafue uizwe kama sadaka, Acacia imezikanusha taarifa hizo kuwa ni uwongo na uzushi.
Kanusho la Acacia ni hili

A Way Forward.
Wakati wowote kuanzia sasa, yaani kati ya leo na kesho ambayo ndio deadline, Barrick watatangaza firm final offer ya kuinunua Acacia, na Acacia watatakiwa kujibu kama wanakubali kununuliwa au laa.
Acacia wakikubali kununuliwa, huu ndio unakuwa mwisho wa Acacia, Barrick itaimiliki Acacia kwa asilimia 100%, sisi Tanzania tutalipwa kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, ambazo sasa ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni hewa la dola bilioni 190 za Noah zetu. Acacia itavunjwa, na kuundwa kampuni mpya ya ubio kati ya Tanzania na Barrick ambapo serikali itakuwa na hisa asilimia 16%, Watanzania wataingia kwenye bodi na menejiment, na tutagawana manufaa ya kiuchumi pasu kwa pasu, yaani 50/50.

Acacia akikataa offer ya Barrick, kitakachofuata ni mtifuano...

Paskali
Tanzania haijawahi kuwa na nguvu hiyo ya kuikataa kampuni
 
Naona serikali inawapa somo Barrick na Acacia, Watanzania wachimbaji wadogo wapo na wanaweza kujaribi.Ndani mwezi na ushee, wamejazana kwa mamia. Japo lipo ndani ya leseni ,hakunadhida
 
Yaani kila nikisikia hicho kibwagizo cha 50/50 manufaa ya kiuchumi, huwa napata taswira ya prof jalalani na kwa kweli nacheka sana! Watanzania sijui hata tumerogwa na nani

Lakini muda utaamua. Tukmbe uhai tu.
 
Watu wanajua kuucheza Mchezo bana kama vile hawajuani ,mpaka tuje tustuke wametuachia Manyoya.Kesi nyingi kama Nchi tumekuwa tukiangukia Pua ,huu Mchezo Wachezaji wanaujua ,nimeamini hii Raslimali (Madini) ni shida ref Congo na kwingineko.
 
Back
Top Bottom