Wakati Kenya ikiangaika na mambo za BBI, Tanzania tunapiga kazi usiku na mchana

ndio utajua mtz ni mtu wa aina gani.

hapo ndio utajua kuwa na akili kubwa ni tofauti na kuwa na akili nzuri.

tsh 130bln hapa bongo ni pesa yenye thamani kubwa sana,sijui nyinyi ksh 6.5 bln kama inaweza hata gharamia safari za uhuru,mtaendelea kupigwa mpaka mtie akili.
Do you know the reason why I always call you a baboon? Is because of your reasoning. Hiyo $60m inaezakuwa kubwa kwa watanzania but not in the international market. In the International market, Tsh 130b and Ksh6.5b are the same.
 
Do you know the reason why I always call you a baboon? Is because of your reasoning. Hiyo $60m inaezakuwa kubwa kwa watanzania but not in the international market. In the International market, Tsh 130b and Ksh6.5b are the same.

ita vyovyote but ukweli utabaki wewe ni mbuzi kwenye upande wa matumizi ya akili.

kipi kinafanya ushindwe kujua logic yangu na nimeweka pesa in term of $ na tsh!!!!!hujui hata sababu ya kuwa na $ katika soko duniani.

$60m ni ndogo kweli Skorea,ila sio kwenye kununua train.labda kama unataka kuitumia kulipa mishahara ya wanajeshi korea nzima.
 
Hii kitu ilikuwa ianze kazi june 2019. It is late by 1.5 years na bado hakuna dalili ya hii kuisha 2020 ama 2021. Remember it is only 200 km and it has taken more time than 480 km from mombasa to nairobi despite being inferior to the kenyan sgr in technology and capacity.

Mzungu naye (standard chartered bank) ni kama amekataa kutoa pesa $1.4 billion commercial loan ya kumaliza hii project baada ya GOT kulia wapewe msamaha ya madeni. Mzungu alihofia hawa watu watatoroka na pesa yake.

Mturuki amefilisishwa na hii project kazi yake sasa ni kuweka vioo mbili train station na kupiga picha wakitumia magufuli ama ku upload video za kitambo kwenye you tube kila wakati.
 
Hii kitu ilikuwa ianze kazi june 2019. It is late by 1.5 years na bado hakuna dalili ya hii kuisha 2020 ama 2021. Remember it is only 200 km and it has taken more time than 480 km from mombasa to nairobi despite being inferior to the kenyan sgr in technology and capacity.

Mzungu naye (standard chartered bank) ni kama amekataa kutoa pesa $1.4 billion commercial loan ya kumaliza hii project baada ya GOT kulia wapewe msamaha ya madeni. Mzungu alihofia hawa watu watatoroka na pesa yake.

Mturuki amefilisishwa na hii project kazi yake sasa ni kuweka vioo mbili train station na kupiga picha wakitumia magufuli ama ku upload video za kitambo kwenye you tube kila wakati.

Hatuna wasi wasi kuhusu kuchelewa, coz our project will be used across the generation, yet we are not imposing any undue burden on our future generation. This is a big difference between your projects and ours.
Most of your projects are subjecting your future generation into slavery. Your debts are keeping on rescheduling. It's dangerous.
 
Hatuna wasi wasi kuhusu kuchelewa, coz our project will be used across the generation, yet we are not imposing any undue burden on our future generation. This is a big difference between your projects and ours.
Most of your projects are subjecting your future generation into slavery. Your debts are keeping on rescheduling. It's dangerous.
HAHAHA, I see now you want to switch to debt arguments but ignore the fact that your projects have stalled. but speaking of debt the only debt international lenders complain about is kenyan domestic debt which is currently 50% of all kenyan debt and no kenya has never defaulted on any loan.
Why not be more concerned with the commercial debt your government is taking or hopes to take to finish off their projects?
 
Back
Top Bottom