Uchaguzi 2020 Wakati kampeni zikianza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa na mvuto zaidi ya mgombea wa CCM John Magufuli

Pascal Mayalla
Ngoja nikuulize swali jepesi tu hivi unadhani "popularity" ya mtu haiwezi kuwa kigezo mojawapo cha kumpa mgombea ushindi?
Tena kwa kuongezea tuu, haya mambo ya makundi ya watu, mimi nimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi toka ule uchaguzi wa kwanza wa jimbo la Kwahani Zanzibar 1993, ukaja uchaguzi Mkuu wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, hakuna uchaguzi nilishuhudia makundi ya watu kama 2015
Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kufuatia makundi hayo, niliamini, hakuja jinsi CCM inaweza kushinda!.
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Tena nikaamini
Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu

Lakini matokeo...
Pamoja na makundi hayo, mtu alibwagwa chini puu!.

P
 
Naunga mkono hoja ya mvuto na watu kuja kushangaa, kwasababu kiukweli kwa maswahibu Lissu aliyopitia, kupona kwake ni muujiza.

Ila ingekuwa issue ya kushinda urais ni mvuto tuu wa makundi makubwa ya watu, basi saa hizi Edward Lowassa ndio angekuwa ndani ya Ikulu yetu.

Kitu kimoja ambacho nakikubali, hakuna ubaya kujipa matumaini ya upinzani kushinda, kuwa na matumaini ni jambo moja, na the plain reality on the ground ni jambo jingine!.

P.
Rejea
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Mbona unakuwa
Mkuu Mystery, kiukweli popularity matters sana kwenye kukusanya tuu makundi ya watu, mfano Diamond akitangaza kupiga show ya bure pale Taifa, atajaza uwanja toka asubuhi mapema, tatizo hayo makundi ya watu sio ya wapiga kura.

Kwenye issue serious kama uchaguzi, ukishindanisha umaarufu na umashuhuri, umashuhuri ndio unashinda!.

Ni kweli kwa sasa Tundu Lissu ndie mgombea maarufu kuliko wote, na umaarufu wake haukuanza leo, hata mimi mwenyewe ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu kugombea
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Katika chagizo hilo, tulimchagiza Lissu sio ili amshinde Magufuli bali kuongeza tuu joto la uchaguzi kwa amsha amsha, lakini kwa upande wa Magufuli kiukweli kabisa ukweli ni huu, mkubali, mkatae
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?!.
P
Uchambuzi wa kitoto sana huwezi kuamini hata kama ni "mwanahabari"ki
 
Sio kwa hii bongo
Wewe jiaminishe hivyo hivyo tu..........

Tuombe Mungu atupe uhai hadi hiyo tarehe 28/10/2020 ili tushuhidie muujiza wa Mungu, kwa kumpa ushindi Tundu Lissu kwa kutumia sanduku la kura!
 
Tena kwa kuongezea tuu, haya mambo ya makundi ya watu, mimi nimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi toka ule uchaguzi wa kwanza wa jimbo la Kwahani Zanzibar 1993, ukaja uchaguzi Mkuu wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, hakuna uchaguzi nilishuhudia makundi ya watu kama 2015
Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kufuatia makundi hayo, niliamini, hakuja jinsi CCM inaweza kushinda!.
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Tena nikaamini


Lakini matokeo...
Pamoja na makundi hayo, mtu alibwagwa chini puu!.

P
Mwaka 2020 mambo yamebadilika sasa ubaya wa CCM umefika mwisho, hakuna mabaya yasiyo na mwisho, ya Malawi, kenya, Gambia, Congo, Ghana, Zambia yanaenda kutokea Tanzania, malaika na mungu atawapiga Sipana NECCCM washindwe kuiba kura uchakachuaji utaduwazwa na nguvu za maombi ya watanzania wengi wanaotamani mabadiliko, Paskal mayala subiria uone maajabu ya mungu.
 
Naunga mkono hoja ya mvuto na watu kuja kushangaa, kwasababu kiukweli kwa maswahibu Lissu aliyopitia, kupona kwake ni muujiza.

Ila ingekuwa issue ya kushinda urais ni mvuto tuu wa makundi makubwa ya watu, basi saa hizi Edward Lowassa ndio angekuwa ndani ya Ikulu yetu.

Kitu kimoja ambacho nakikubali, hakuna ubaya kujipa matumaini ya upinzani kushinda, kuwa na matumaini ni jambo moja, na the plain reality on the ground ni jambo jingine!.

P.
Rejea
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu

Pascal, you are a great thinker, you should know that in Tanzania what matters is who declares the winner and not how many votes the candidate gets.
 
Wewe jiaminishe hivyo hivyo tu..........

Tuombe Mungu atupe uhai hadi hiyo tarehe 28/10/2020 ili tushuhidie muujiza wa Mungu, kwa kumpa ushindi Tundu Lissu kwa kutumia sanduku la kura!
Ushetani wa CCM unaenda kufikia mwisho sasa hakuna mabaya yasiyo na mwisho
 
Naunga mkono hoja ya mvuto na watu kuja kushangaa, kwasababu kiukweli kwa maswahibu Lissu aliyopitia, kupona kwake ni muujiza.

Ila ingekuwa issue ya kushinda urais ni mvuto tuu wa makundi makubwa ya watu, basi saa hizi Edward Lowassa ndio angekuwa ndani ya Ikulu yetu.

Kitu kimoja ambacho nakikubali, hakuna ubaya kujipa matumaini ya upinzani kushinda, kuwa na matumaini ni jambo moja, na the plain reality on the ground ni jambo jingine!.

P.
Rejea
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Paschal, wewe ulipaswa kuwa neutral ila tamaa ya ubunge ndio inakuponza, uandishi wako haupaswi kuwa na muegamo. Unaongeleaje kuhusu wagombea wote 18 wa kule Pemba kukatwa, na baadhi ya wa huku bara ambao ni wa vyama vya upinzani?

Halafu hicho amabcho unadhani hakiwezi kutokea, je kikitokea aina ya uandishi wako utakuwaje?, utabadilika tena?
 
Hata ungekuwa ni wewe utapenda kumsikiliza kwa sasai? aliyekuwa anaongea peke yake miaka 5 mfuluizo huku kawapiga pin wenzake ama Lissu mmoja wa wale ambao walikuwa wamepigwa pin?

Jibu lipo wazi.
 
Wewe jiaminishe hivyo hivyo tu..........

Tuombe Mungu atupe uhai hadi hiyo tarehe 28/10/2020 ili tushuhidie muujiza wa Mungu, kwa kumpa ushindi Tundu Lissu kwa kutumia sanduku la kura!
Apewe ushindi kwa tume ipi? Wenyewe mnajua mapema bila tume huru mtaishia kua wapinzani tu miaka nenda rudi + watu wakuliamsha hamna ,,,Kenya yenyewe watu wanatandikwaga mabom na virungu ila kila uchaguzi mtu wa system anashinda sembuse hapa bongo walipojaa ma keyboard warriors mtaishia tu kua na ndoto za mchana
 
Wakati kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu zinaanza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mapambano huo utakuwa mkali sana, baina ya mgombea wa Chadema, Tundu Lissu na mgombea wa CCM John Pombe Magufuli.

Kwanza niainishe ni kwanini naona Tundu Lissu atampiku Magufuli kwenye kampeni hizo

1. Utawala huu wa awamu ya tano kupiga marufuku mikutano yote ya vyama vya siasa vya upinzani na wakati huo huo kuruhusu chama cha CCM kuwa ndiyo pekee kilichoruhusiwa kuzunguka nchi nzima, kujitangaza kwa kipindi chote cha miaka mitano mfululizo, ndiko kutakakomuongezea mgombea wa Chadema, Tundu Lissu, kwa kuwa Umma wa watanzania utakuwa na hamu kubwa kusikiliza sera za Chadema, ambazo muda mrefu sana walikuwa hawazipati.

2. Ktendo cha CCM kutegemea vyombo vyote vya dola na vyombo vyote vya habari vya Umma na vya binafsi, kuwa upande wa CCM, kutaongeza mvuto mkubwa kwa wananchi kwenda kuzisikiliza sera za Chadema.

3. Kitendo cha kuonewa kupita kiasi kwa viongozi wa Chadema, ambao wamekuwa katika mazingira magumu mno katika kipindi chote hiki cha utawala huu wa awamu ya tano chini ya Mwenyekiti wao, John Magufuli, wamekuwa wakihangaika mno kukabiliana na kesi mbalimbali, ambazo ni za kubambika, zitawaongezea Sana umaarufu, mgombea wao wa Urais Tundu Lissu na chama chake cha Chadema.

4. Lakini kitendo kikubwa kabisa ambacho kitamuongezea umarufu mno Tundu Lissu, ni kitendo cha yeye kushambuliwa kwa kupigwa risasi 16 mfululizo, akiwa ndani ya gari yake, hapo Septemba 7, mwaka 2017, mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wakuu wa serikali hii, ambapo ni kitu ambacho siyo cha kawaida, kusikia hivi sasa takribani miaka 3, eti watu hao bado hawajajulikana!

Kwa sababu hizo Kuu, naamini kabisa mgombea wa Chadema atakuwa kama lulu, ambapo kila mwananchi atakuwa na hamu sana ya kumuona na kusikia sera zake, huku tukitarajia, CCM kama kawaida yao kutumia vyombo vya usafiri yakiwemo malori, kuwasomba wananchi sehemu mbalimbali ya nchi ili kuja kwa "kulazimishwa" kuja kumsikia mgombea wa Urais wa CCM, wakati wale watakaokwenda kumsikiliza Lissu watajitolea hata kwa kutembea kwa miguu kwa masafa marefu!
JPM hana mtu sahihi wa kushindana naye kwa uchaguzi huu
 
Wakati kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu zinaanza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mapambano huo utakuwa mkali sana, baina ya mgombea wa Chadema, Tundu Lissu na mgombea wa CCM John Pombe Magufuli.

Kwanza niainishe ni kwanini naona Tundu Lissu atampiku Magufuli kwenye kampeni hizo

1. Utawala huu wa awamu ya tano kupiga marufuku mikutano yote ya vyama vya siasa vya upinzani na wakati huo huo kuruhusu chama cha CCM kuwa ndiyo pekee kilichoruhusiwa kuzunguka nchi nzima, kujitangaza kwa kipindi chote cha miaka mitano mfululizo, ndiko kutakakomuongezea mgombea wa Chadema, Tundu Lissu, kwa kuwa Umma wa watanzania utakuwa na hamu kubwa kusikiliza sera za Chadema, ambazo muda mrefu sana walikuwa hawazipati.

2. Ktendo cha CCM kutegemea vyombo vyote vya dola na vyombo vyote vya habari vya Umma na vya binafsi, kuwa upande wa CCM, kutaongeza mvuto mkubwa kwa wananchi kwenda kuzisikiliza sera za Chadema.

3. Kitendo cha kuonewa kupita kiasi kwa viongozi wa Chadema, ambao wamekuwa katika mazingira magumu mno katika kipindi chote hiki cha utawala huu wa awamu ya tano chini ya Mwenyekiti wao, John Magufuli, wamekuwa wakihangaika mno kukabiliana na kesi mbalimbali, ambazo ni za kubambika, zitawaongezea Sana umaarufu, mgombea wao wa Urais Tundu Lissu na chama chake cha Chadema.

4. Lakini kitendo kikubwa kabisa ambacho kitamuongezea umarufu mno Tundu Lissu, ni kitendo cha yeye kushambuliwa kwa kupigwa risasi 16 mfululizo, akiwa ndani ya gari yake, hapo Septemba 7, mwaka 2017, mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wakuu wa serikali hii, ambapo ni kitu ambacho siyo cha kawaida, kusikia hivi sasa takribani miaka 3, eti watu hao bado hawajajulikana!

Kwa sababu hizo Kuu, naamini kabisa mgombea wa Chadema atakuwa kama lulu, ambapo kila mwananchi atakuwa na hamu sana ya kumuona na kusikia sera zake, huku tukitarajia, CCM kama kawaida yao kutumia vyombo vya usafiri yakiwemo malori, kuwasomba wananchi sehemu mbalimbali ya nchi ili kuja kwa "kulazimishwa" kuja kumsikia mgombea wa Urais wa CCM, wakati wale watakaokwenda kumsikiliza Lissu watajitolea hata kwa kutembea kwa miguu kwa masafa marefu!

Nilikuwa nikidhani mpaka uvue nguo ndio uitwe kicha,,, kumbe sio lazima tunaishi nao humu humu kila siku.
 
Wakati kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu zinaanza mwishoni mwa wiki hii, ni dhahiri kuwa mapambano huo utakuwa mkali sana, baina ya mgombea wa Chadema, Tundu Lissu na mgombea wa CCM John Pombe Magufuli.

Kwanza niainishe ni kwanini naona Tundu Lissu atampiku Magufuli kwenye kampeni hizo

1. Utawala huu wa awamu ya tano kupiga marufuku mikutano yote ya vyama vya siasa vya upinzani na wakati huo huo kuruhusu chama cha CCM kuwa ndiyo pekee kilichoruhusiwa kuzunguka nchi nzima, kujitangaza kwa kipindi chote cha miaka mitano mfululizo, ndiko kutakakomuongezea mgombea wa Chadema, Tundu Lissu, kwa kuwa Umma wa watanzania utakuwa na hamu kubwa kusikiliza sera za Chadema, ambazo muda mrefu sana walikuwa hawazipati.

2. Ktendo cha CCM kutegemea vyombo vyote vya dola na vyombo vyote vya habari vya Umma na vya binafsi, kuwa upande wa CCM, kutaongeza mvuto mkubwa kwa wananchi kwenda kuzisikiliza sera za Chadema.

3. Kitendo cha kuonewa kupita kiasi kwa viongozi wa Chadema, ambao wamekuwa katika mazingira magumu mno katika kipindi chote hiki cha utawala huu wa awamu ya tano chini ya Mwenyekiti wao, John Magufuli, wamekuwa wakihangaika mno kukabiliana na kesi mbalimbali, ambazo ni za kubambika, zitawaongezea Sana umaarufu, mgombea wao wa Urais Tundu Lissu na chama chake cha Chadema.

4. Lakini kitendo kikubwa kabisa ambacho kitamuongezea umarufu mno Tundu Lissu, ni kitendo cha yeye kushambuliwa kwa kupigwa risasi 16 mfululizo, akiwa ndani ya gari yake, hapo Septemba 7, mwaka 2017, mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wakuu wa serikali hii, ambapo ni kitu ambacho siyo cha kawaida, kusikia hivi sasa takribani miaka 3, eti watu hao bado hawajajulikana!

Kwa sababu hizo Kuu, naamini kabisa mgombea wa Chadema atakuwa kama lulu, ambapo kila mwananchi atakuwa na hamu sana ya kumuona na kusikia sera zake, huku tukitarajia, CCM kama kawaida yao kutumia vyombo vya usafiri yakiwemo malori, kuwasomba wananchi sehemu mbalimbali ya nchi ili kuja kwa "kulazimishwa" kuja kumsikia mgombea wa Urais wa CCM, wakati wale watakaokwenda kumsikiliza Lissu watajitolea hata kwa kutembea kwa miguu kwa masafa marefu!
Wasiojulikana kuendelea kutojulikana kwa neno rahisi nikwawao kuendelea 'kudundazi'
 
Naunga mkono hoja ya mvuto na watu kuja kushangaa, kwasababu kiukweli kwa maswahibu Lissu aliyopitia, kupona kwake ni muujiza.

Ila ingekuwa issue ya kushinda urais ni mvuto tuu wa makundi makubwa ya watu, basi saa hizi Edward Lowassa ndio angekuwa ndani ya Ikulu yetu.

Kitu kimoja ambacho nakikubali, hakuna ubaya kujipa matumaini ya upinzani kushinda, kuwa na matumaini ni jambo moja, na the plain reality on the ground ni jambo jingine!.

P.
Rejea
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Watu wanapenda kusikiliza hotuba za Lissu kwakua zona mvuto, Lissu ana charisma, maneno yake yana fundisha, yana tia moyo, na yanaleta matumaini.
 
Its very true, kiukweli kabla sijatupa karata yangu, nilijipima na Kumwaga sera zangu kwanini nataka kwenda Bungeni na kule nakwenda kufanya nini!

Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...

Lakini masikini wajumbe, kumbe wana jambo lao!
Na mara tuu baada ya kushindwa nilijitokeza kuyakubali matokeo
Uchaguzi 2020 - Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Maadam aliyeshinda na kuteuliwa ni mtu mwenye uwezo, na mtaji mkubwa wa ushindi, namuunga mkono, jimbo la Kawe tumelikomboa.
P
Tuombe Mungu, mimi ni mpiga kura wa Kawe, tutamrudisha mchunga Kondoo kwa Kondoo wake asubuhi na mapema.

Kila la kheri katika kumnadi Mchunga Kondoo!
 
Mkuu Mystery, kiukweli popularity matters sana kwenye kukusanya tuu makundi ya watu, mfano Diamond akitangaza kupiga show ya bure pale Taifa, atajaza uwanja toka asubuhi mapema, tatizo hayo makundi ya watu sio ya wapiga kura.

Kwenye issue serious kama uchaguzi, ukishindanisha umaarufu na umashuhuri, umashuhuri ndio unashinda!.

Ni kweli kwa sasa Tundu Lissu ndie mgombea maarufu kuliko wote, na umaarufu wake haukuanza leo, hata mimi mwenyewe ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu kugombea
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Katika chagizo hilo, tulimchagiza Lissu sio ili amshinde Magufuli bali kuongeza tuu joto la uchaguzi kwa amsha amsha, lakini kwa upande wa Magufuli kiukweli kabisa ukweli ni huu, mkubali, mkatae
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?!.
P
Hongera sana kwa msimamo wako, next time hutaachwa hivi hivi. Keki ya Taifa sio ya Mchato pekee ni ya watu wote
 
Naunga mkono hoja ya mvuto na watu kuja kushangaa, kwasababu kiukweli kwa maswahibu Lissu aliyopitia, kupona kwake ni muujiza.

Ila ingekuwa issue ya kushinda urais ni mvuto tuu wa makundi makubwa ya watu, basi saa hizi Edward Lowassa ndio angekuwa ndani ya Ikulu yetu.

Kitu kimoja ambacho nakikubali, hakuna ubaya kujipa matumaini ya upinzani kushinda, kuwa na matumaini ni jambo moja, na the plain reality on the ground ni jambo jingine!.

P.
Rejea
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!

Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?

Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Lowasa alishinda ila akutangazwa najua hata wewe unajua ila kwa kuwa ni kada unajitoa fahamu tu
 
Back
Top Bottom