Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,562
Tena kwa kuongezea tuu, haya mambo ya makundi ya watu, mimi nimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi toka ule uchaguzi wa kwanza wa jimbo la Kwahani Zanzibar 1993, ukaja uchaguzi Mkuu wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, hakuna uchaguzi nilishuhudia makundi ya watu kama 2015Pascal Mayalla
Ngoja nikuulize swali jepesi tu hivi unadhani "popularity" ya mtu haiwezi kuwa kigezo mojawapo cha kumpa mgombea ushindi?
Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?
Kufuatia makundi hayo, niliamini, hakuja jinsi CCM inaweza kushinda!.
Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda!
Tena nikaamini
Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Lakini matokeo...
Pamoja na makundi hayo, mtu alibwagwa chini puu!.
P