Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
- Thread starter
- #21
Unafikiri mimi kuwa mchimba chumvi itanizuia kuongea ukweli kuhusu wachimba chumvi?Badala ya kuwavizia ndugu zako na kuwapiga picha za kuja kupambia hili andiko lako, si ungenunua tu hata hizo barakoa mbili na ukawapatia! Au ungetumia muda wako kuelimisha matumizi sahihi ya hizo barakoa.
Una maneno ya shombo kwa Waafrika/Watanzania wenzako as if wewe mwenzetu ni Mzungu pori! Kumbe utakuta ni mchimba chumvi tu.