Wakati Huu Nikiangalia ITV kuna kitu kitatokea hata miaka 20 ijayo

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,163
787
kama kawaida, ogopa sana uzandiki.....

Hapa hakuna kulaumu. siku hiyo inakuja kila mmoj atajuta. na kuona ulikosea, lowasa hakuhitaji sifa , laa alitaka atuwezeshe.

Asingebomoa kabla ya kujua utajistiri wapi. Muda huu wewe ukiwa umejilaza, walobomolewa hawajui hatma yao. usalama wao. Maisha yao, chakula kwa tabu.

Updated
Mjadala kila kona ya Tanzania ni bomoa bomoa. Nadhani wananchi wanashindwa kujua njia za kitumia njia nzur kudai.

Tangu hapo nashangaa sioni hata taasisi za haki za binadam. Hapa haki inatakiwa itetewe. Tujuavyo pia nchi hii imekuwa ikipokea wakimbizi. Waliobomolewa hawanati mahitaji yao na wale wanaokimbia vita.

Kuwa homeless hujui chakula ukale wapi. Kazi automatic huwez kwenda. wewe na refugee unanini tofaut?

acheni ushabiki
 
Last edited:
Ndezi kabisa hao, wamepewa viwanja na mabati wakauza na kirudi mjini wafanywaje ss?!!
 
Tena serikali ilichelewesha hiyo bomoa bomoa, maana unakuta nyumba imewekwa alama kwamba ibomolewe, miaka nenda rudi watu wanapuuza. Watu wakipata magonjwa ya milipuko na mafuriko lawama zinaenda kwa serikali! Kwanini basi serikali isifanye namna ili kuepusha lawama?

Hao wanaohofiwa kuleta hali ya kutoridhika baada ya muda wataelewa nini serikali ilikuwa inakifanya.
 
Last edited:
dhima ya kuonesha kipindi hicho ni kuonesha ujinga uliofanyika mwaka 2015 kwa kimuunga mkono fisadi huku ukizungusha mikono hewani...
 
nimeumia sana wanajf

huyu baba amenifundisha mambo mengi sana

naamini ipo siku Mungu atamjibia
 
dhima ya kuonesha kipindi hicho ni kuonesha ujinga uliofanyika mwaka 2015 kwa kimuunga mkono fisadi huku ukizungusha mikono hewani...
Yale makontena hajapatikana mwenyewe??? Na vipi kuhusu mradi wa magari ya mwendo kasi nani muhusika wa mradi huo???
 
Hypothetical speaking, pale kunapotokea mafuriko jangwani, nyumba kufunikwa na maji kwa siku tano mpk wiki mbili hawa watu huwa wanaenda kuishi wapi? Nauliza tu
 
Hypothetical speaking, pale kunapotokea mafuriko jangwani, nyumba kufunikwa na maji kwa siku tano mpk wiki mbili hawa watu huwa wanaenda kuishi wapi? Nauliza tu
Hahaha hapa tukiacha ushabiki tunaweza kukuelewa ,ila hiyo isiwe sababu ya kupigilia msumari ubomoaji walau ufuate utaratibu naamini hakuna binadamu anayependa kuishi maisha hayo ila ndio hivyo mambo ya destiny
 
Jana nilikuwa naongea na kada mmoja wa CCM, yeye ni mmoja wa waliokumbwa na bomoa bomoa hii inayoendelea tena wiki ijayo. Akaniambia vitu vingi saana, lakini vichache ni pamoja na operation vijiji vya ujamaa mwaka 1974, akaniambia tukio la kuuwawa mkuu wa mkoa wa Iringa wakati huo mhe. Kleruu(RIP) na bwana mmoja akiitwa Mwamwindi, lakini pia aliniambia national housing ni matokeo ya zoezi hilo la mwaka 1974. Mzee wangu huyo alinambia "matokeo ya bomoabomoa inayosimamiwa na watawala wetu utaiona baada ya muda mfupi ujao" na suala la kubomolewa nyumba lisikie tu kwa mwenzio lakini lisitokee kwako. Subiri shule zifungue ndipo utakapojua madhara ya ubomoaji huu.
 
Back
Top Bottom