umenikumbusha mbali saana maana nimesoma mimi mwakaleli nyie watu mnaroho nzuri sitowasahauDah,enzi hizo hapo nipo kwa Bibi Mwakaleli,Mbeya.Nashindilia viazi utamu na maziwa ya mtindi wa kienyeji namaliza na maji baridi ya mtungini.
aisey utamu wa maji ya chungu sizani nyakati hizi kama utaupataIf we can turn back the time... Back to these old gold days... Chemical free world... View attachment 835551
Mkuu; Hii bidhaa ni adimu sana. Kweli wahenga walisema "wakati ni ukuta". Waliokwisha pita stage hii bc tena, lakini bado inapatikana ktk maeneo machache kwa mfano baadhi ya Wandorobo (jamii ya Akie) ambao hadi leo wanaishi katika mapango ya miti ya mibuyu na chakula chao ni Asali na nyama-porini.If we can turn back the time... Back to these old gold days... Chemical free world... View attachment 835551
Ahahahahaaaaaa enzi hizo hata ukiona chupi ya kike imeanikwa unadindishaDah,enzi hizo hapo nipo kwa Bibi Mwakaleli,Mbeya.Nashindilia viazi utamu na maziwa ya mtindi wa kienyeji namaliza na maji baridi ya mtungini.
Hapo ulikua unatengeneza bomu la atomic mkuu, viazi vitamu na mtindi!Dah,enzi hizo hapo nipo kwa Bibi Mwakaleli,Mbeya.Nashindilia viazi utamu na maziwa ya mtindi wa kienyeji namaliza na maji baridi ya mtungini.
Hakika hizo zilikuwa siku zilizojaa upendo, hakuna aliyenunua maji ya kunywa....ukisikia kiwi ukiwa popote unaomba maji ya kunywa na unapewa yakiwa baridi kabisa kutoka kwenye kifaa hicho.Maji yamewekwa kwenye mtungi, kwa chini kuna mchanga. Maji ya baridi mtungi unatoa kijasho chembamba.
Where are those days where apples and blackberry were just fruits, siku zilizojaa upendo wa kweli, ziko wapi siku hizo?
Hapo ulikua unatengeneza bomu la atomic mkuu, viazi vitamu na mtindi!
Maziwa na gari ya mwasumbi toka kandete??Dah,enzi hizo hapo nipo kwa Bibi Mwakaleli,Mbeya.Nashindilia viazi utamu na maziwa ya mtindi wa kienyeji namaliza na maji baridi ya mtungini.
Kama hujanywa maji kwenye hilo chungu jua ww bado ni mwaume wa dar enzi hizo nimetoka chunga mbuzi za mzee massawe nikirudi napiga maji ya mtungi
Mi ninao mtungi, maji yake huwa mazuuuuriii unaweza kunywaa hata lita kadhaa yana utofauuti kabisaa na maji ya frijiIf we can turn back the time... Back to these old gold days... Chemical free world... View attachment 835551