Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Watu tunatofautina sana kwenye mawazo ya kuwa nguo imekuwa chafu na hatuwezi kuirudia....baadhi ya watu hutumia njia zifuatazo kujiridhisha kuwa nguo ni chafu na haifai kuvaliwa tena mpaka ifuliwe;
1.Baada ya kuivaa mara moja; hii mara nyingi ni kwa nguo za ndani (hasa wadada)
2.Kuinusa; kama haina harufu ya jasho inaweza kuvaliwa (hii wakaka tunaitumia sana)
3.Kuangalia kama ina rangi ya uchafu; kama bado inaridhisha....inavaliwa.
4.Kupoa; umepambana Buguruni huko joto kali nguo imkuwa yamotoooo, ukirudi unaiweka ipoe...kesho yake au baada ya siku mbili inavaliwa. Hapa ya jumatatu unaivaa tena jumatano, ya jumatano unaivaa ijumaa n.k.
5.Mazoea; wengine wakivaa nguo mara moja wanakuwa na mawazo kuwa imeshachafuka hivyo hawawezi irudia.
Mdau wewe huwa unatumia vigezo gani kudhani kuwa nguo imechafuka na hauwezi kurudia kuivaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Baada ya kuivaa mara moja; hii mara nyingi ni kwa nguo za ndani (hasa wadada)
2.Kuinusa; kama haina harufu ya jasho inaweza kuvaliwa (hii wakaka tunaitumia sana)
3.Kuangalia kama ina rangi ya uchafu; kama bado inaridhisha....inavaliwa.
4.Kupoa; umepambana Buguruni huko joto kali nguo imkuwa yamotoooo, ukirudi unaiweka ipoe...kesho yake au baada ya siku mbili inavaliwa. Hapa ya jumatatu unaivaa tena jumatano, ya jumatano unaivaa ijumaa n.k.
5.Mazoea; wengine wakivaa nguo mara moja wanakuwa na mawazo kuwa imeshachafuka hivyo hawawezi irudia.
Mdau wewe huwa unatumia vigezo gani kudhani kuwa nguo imechafuka na hauwezi kurudia kuivaa?
Sent using Jamii Forums mobile app