Wakati Dk Shein akiahidi kupambana na rushwa JK anaendelea kutoa blah blah

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
..........Dk. Shein katika hotuba zake amekuwa akiahidi kupambana na rushwa, tatizo ambalo limeathiri sana wananchi wa Zanzibar hasa wenye kipato cha chini.............. :: IPPMEDIA

Huku haya yakijiri, msanii wetu anaendelea na porojo za ahadi za kufikirika. Ahadi alizotoa wakati wa kampeni ni nyingi na zilikuwa zinatosha sasa leo ameongeza zingine bila kuonyesha msisitizo unaostahili kwenye mapambano ya rushwa, wote tunajua na tunaamini kuwa kama raslimali zikisimamiwa ipasavyo ahadi alizotoa kwenye kampeni angeweza kuzitekeleza.

Huyu ndiye rahisi wetu bwana, anajua kuwa theluthi moja ya mapato ya serikali hupotea kwenye rushwa na hana wasiwasi na hilo kwani OIC wamemwahidi misaada kede kede akipitisha mahakama ya kadhi
 
Sasa hivi ni kumwomba Mola tu amalize kipindi chake salama,hatuna imani naye na matumaini ya maendeleo pia hatuna.Anatudanganya mfumuko wa bei 4.2%.Yaani hotuba yake imejaa uongo alichoweza kujivunia ni kuwa na spika mwanamke na kufungua bank ya wanawake duh nafikiri alitakiwa kuwa waziri wa wanawake na si raisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom