Harakati za viongozi wa CCM katika ofisi kuu za tume ya uchaguzi zinaanza kututia shaka kwani katika kipindi kifupi tu watu wameshuhudia Nape na mwigulu mchemba wakipita katika ofisi za tume ya uchaguzi. Nini kinaendelea katika harakati za Arumeru kati ya Chadema na CCM?.