ENKOKOROMI
Member
- Mar 19, 2012
- 50
- 5
Hivi unaweza kimsifia baba aliyemnunulia mtoto wake kaptula nyumbani?itakosa wachangiaji si kwa sababu ya positive za Zitto bali mtoa mada hajatoa jipya.Ungekuwa mjadala kama angefungua matawi ya CCM, we kama umeona jipya katika hili niambie.Au mnataka kuwa na mawazo finyu kwamba Zitto anafanya kazi yake binafsi?tumemtuma lazima afanye.Hii thread itakosa wachangiaji kwasababu inaongelea positive za zitto