Wakati CCM inawekeza kwenye miundombinu Chadema wanawekeza kwa wabunge ili kupata ROI ya uhakika.

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,891
141,824
Ndio, CCM kwa sasa imejikita kuwekeza katika miundombinu na muda si mrefu itaanza kumiliki viwanda.
CCM ina miradi kuanzia katika level ya tawi, wana viwanja vya michezo, sehemu za kulaza magari, hotel, majengo ya kupangisha, miradi ya ulinzi nk. Kwa maana hiyo CCM ina uwezo wa kujiendesha yenyewe bila kutegemea ruzuku ya serikali.

Kwa upande wa Chadema wao wameamua kwenda kisasa zaidi kwa kukwepa risk ya kujikita kwenye miradi kama ya CCM.
Wao wanawekeza kwenye " idadi" ya wabunge, unapokuwa na idadi kubwa ya wabunge una uhakika wa mapato yao katika michango na mfuko wa jimbo.
Mradi pekee wa Chadema wa moja kwa moja ni gazeti la Tanzania Daima ambalo linapata ushindani mkali kutoka gazeti la Uhuru na yale ya Cyprian.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
 
Ndio, CCM kwa sasa imejikita kuwekeza katika miundombinu na muda si mrefu itaanza kumiliki viwanda.
CCM ina miradi kuanzia katika level ya tawi, wana viwanja vya michezo, sehemu za kulaza magari, hotel, majengo ya kupangisha, miradi ya ulinzi nk. Kwa maana hiyo CCM ina uwezo wa kujiendesha yenyewe bila kutegemea ruzuku ya serikali.

Kwa upande wa Chadema wao wameamua kwenda kisasa zaidi kwa kukwepa risk ya kujikita kwenye miradi kama ya CCM.
Wao wanawekeza kwenye " idadi" ya wabunge, unapokuwa na idadi kubwa ya wabunge una uhakika wa mapato yao katika michango na mfuko wa jimbo.
Mradi pekee wa Chadema wa moja kwa moja ni gazeti la Tanzania Daima ambalo linapata ushindani mkali kutoka gazeti la Uhuru na yale ya Cyprian.

Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
karibu asilimia 95 ya miundombinu ya ccm, imerithi/imepora kutoka ktk miundombinu ya uma. Wakati Tanzania inaingia ktk mfumo wa vyama vingi, ilipaswa mali zote za chama zirudi serekalini, au agawane kwa vyama vyote vilivyosajiliwa wakati huo. haikufanyika.
 
karibu asilimia 95 ya miundombinu ya ccm, imerithi/imepora kutoka ktk miundombinu ya uma. Wakati Tanzania inaingia ktk mfumo wa vyama vingi, ilipaswa mali zote za chama zirudi serekalini, au agawane kwa vyama vyote vilivyosajiliwa wakati huo. haikufanyika.
Chukulia kwa mfano Chadema wangegaiwa uwanja wa Kirumba pale Mwanza.......ungekuwepo hadi leo?!!
 
Watanzania sisi tuna ujinga by natural, CCM ndo chama tawala kinachounda serikali na wao ndo wanakusanya kodi na ni jukumu lao kujenga miundombinu yote, kulipa mishahara na kadhalika, sasa chadema pesa hizo wanatoa wapi? Tupunguze ujinga watanzania hata kama tunatafuta kujipendekeza na kupata buku 7 sio kwa namna hii, njoo na hoja fikirishi tujadili kwa pamoja
 
Watanzania sisi tuna ujinga by natural, CCM ndo chama tawala kinachounda serikali na wao ndo wanakusanya kodi na ni jukumu lao kujenga miundombinu yote, kulipa mishahara na kadhalika, sasa chadema pesa hizo wanatoa wapi? Tupunguze ujinga watanzania hata kama tunatafuta kujipendekeza na kupata buku 7 sio kwa namna hii, njoo na hoja fikirishi tujadili kwa pamoja
Hapa nazungumzia miundombinu ya CCM kama chama...... Usikariri bwashee!
 
Hahahaaaa....... Yule Sabodo alijaribu kuwapa rasilimali kadhaa zikiwemo pampu za visima vya maji lakini hadi leo havijulikani vilienda wapi maana Ufipa havipo na majimboni havipo!
umetafiti? Ninachokumbuka, sabodo alitoa tsh 100,milioni makaomakuu, na alisema anatenga bajeti ya million 20 kwaajili ya majimbo yanayoongozwa na upinzani kwaajili ya kuchimba visima. Hivyo ilikuwa ni issue ya wabunge na madiwani na wakurugenzi kupeleka proposal kwa sabodo, sikumbuke Kama alitoa miundombinu ya visima.
 
umetafiti? Ninachokumbuka, sabodo alitoa tsh 100,milioni makaomakuu, na alisema anatenga bajeti ya million 20 kwaajili ya majimbo yanayoongozwa na upinzani kwaajili ya kuchimba visima. Hivyo ilikuwa ni issue ya wabunge na madiwani na wakurugenzi kupeleka proposal kwa sabodo, sikumbuke Kama alitoa miundombinu ya visima.
Nassari alikuwa wa kwanza kukabidhiwa pampu za visima......ngoja tumuulize Jerry kama hivyo visima vipo maana wananchi walishalalamika kuwa Joshua kawatapeli!
 
karibu asilimia 95 ya miundombinu ya ccm, imerithi/imepora kutoka ktk miundombinu ya uma. Wakati Tanzania inaingia ktk mfumo wa vyama vingi, ilipaswa mali zote za chama zirudi serekalini, au agawane kwa vyama vyote vilivyosajiliwa wakati huo. haikufanyika.
Huu ni ujuha mkubwa. Waliokua wanachangia hiyo miundombinu walikua ni wanachama wa CCM hata kama kilikua ni chama kimoja. Unapozungumzia Mali za umma maana yake unaongelea mali za Serikali, sasa CCM haijawahi kumiliki mali za Serikali kwahiyo haijawahi kuwa na mali ya Umma bali inamiliki mali ilizochangiwa na wanachama wake ambao wengine mpaka leo bado wapo na wengine wamehamia kwenye vyama vingine.

Vyama vya Upinzani vinaposhindwa kujijenga kiuchumi kwa kisingizio cha CCM kumiliki mali za umma ni ulaghai mkubwa. Vingine vimeshindwa hata kujenga Ofisi zao huku wakiendelea Kula ruzuku (fedha ya Umma).
 
Huu ni ujuha mkubwa. Waliokua wanachangia hiyo miundombinu walikua ni wanachama wa CCM hata kama kilikua ni chama kimoja. Unapozungumzia Mali za umma maana yake unaongelea mali za Serikali, sasa CCM haijawahi kumiliki mali za Serikali kwahiyo haijawahi kuwa na mali ya Umma bali inamiliki mali ilizochangiwa na wanachama wake ambao wengine mpaka leo bado wapo na wengine wamehamia kwenye vyama vingine.

Vyama vya Upinzani vinaposhindwa kujijenga kiuchumi kwa kisingizio cha CCM kumiliki mali za umma ni ulaghai mkubwa. Vingine vimeshindwa hata kujenga Ofisi zao huku wakiendelea Kula ruzuku (fedha ya Umma).
Hiyo miondombinu kama viwanja majengo vilijengwa na kodi za wananchi usipotoshe
 
Ngoja nikusaidie matumizi ya buku saba:

-chipsi mayai -Tshs 2500
-Maji Makubwa 1-Tshs 1,000
-Gongo double 4=2000
-Nauli(mnazimmoja hadi Mbagala kiburugwa )-Tshs 1000
-Mkate wa watoto asubuhi -Tshs 1000
Jumla Tshs 7000/=

Pole na kazi
 
Huu ni ujuha mkubwa. Waliokua wanachangia hiyo miundombinu walikua ni wanachama wa CCM hata kama kilikua ni chama kimoja. Unapozungumzia Mali za umma maana yake unaongelea mali za Serikali, sasa CCM haijawahi kumiliki mali za Serikali kwahiyo haijawahi kuwa na mali ya Umma bali inamiliki mali ilizochangiwa na wanachama wake ambao wengine mpaka leo bado wapo na wengine wamehamia kwenye vyama vingine.

Vyama vya Upinzani vinaposhindwa kujijenga kiuchumi kwa kisingizio cha CCM kumiliki mali za umma ni ulaghai mkubwa. Vingine vimeshindwa hata kujenga Ofisi zao huku wakiendelea Kula ruzuku (fedha ya Umma).
Umenena vema mkuu!
 
Huu ni ujuha mkubwa. Waliokua wanachangia hiyo miundombinu walikua ni wanachama wa CCM hata kama kilikua ni chama kimoja. Unapozungumzia Mali za umma maana yake unaongelea mali za Serikali, sasa CCM haijawahi kumiliki mali za Serikali kwahiyo haijawahi kuwa na mali ya Umma bali inamiliki mali ilizochangiwa na wanachama wake ambao wengine mpaka leo bado wapo na wengine wamehamia kwenye vyama vingine.

Vyama vya Upinzani vinaposhindwa kujijenga kiuchumi kwa kisingizio cha CCM kumiliki mali za umma ni ulaghai mkubwa. Vingine vimeshindwa hata kujenga Ofisi zao huku wakiendelea Kula ruzuku (fedha ya Umma).
Wewe ndo juha ujui unachozungumza. nchi ilikua na chama kimoja hivyo watu wote walikua ama kwa kutaka au wasipotaka lazima wajenge hiko chama. umekuja mpango wa vyama vingi ilikua busara mali zote zirudi serekalini alafu kila chama kianze upya. sasa wewe unatetea nini? Hebu niambie ni mpizani gani leo ambae hajawahi kuwa mwana ccm? VP jasho lake wakati yupo ktk vyama vyengine?
 
Back
Top Bottom