hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wewe unawashwa wahi hiyo hapoView attachment 2072297
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hiki ndio mnachojua na kususa kama madem
Wewe unawashwa wahi hiyo hapoView attachment 2072297
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndugai hajashughulikiwa ila limeshughulikiwa bungeNalijuwa hilo, ila nadhani umejionea speed ya kumshughulikia Ndugai ilivyofanyika.
Badala ya kupoteza muda na mambo yao Chadema ipenye hapohapo kupitia upepo huu huu, spika mpya ataheshimu barua rasmi ya maamuzi rasmi ya kikao cha juu cha maamuzi.
Siasa ndivyo ilivyo, hata Gwajima baada ya kuusoma upepo amekwenda na upepo ulivyovuma na sasa ana uhakika wa ubunge wake.
Chadema itumie fursa hii wakati bado kuna vuguvugu hili la kuondowa mamluki ccm na Chadema ijilinganie hapohapo.