Wakati Bunge linaendelea KUB Mbowe na baadhi ya wabunge wake wako Mahakamani. Je, hii haileti mgogoro wa Mihimili?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,914
141,866
Kwa wengine hili ni swali jepesi sana lakini mimi limenipa ugumu fulani katika kulitafakari.

KUB Mbowe na vijana wake akina Mdee, Heche, Bulaya, Matiko, Msigwa na Mnyika ambao wote ni wabunge wa kuchaguliwa wanashindwa kuhudhuria bungeni kwa sababu wanahitajika mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.

Je, isingewezekana kesi kuahirishwa ili kuwapa wananchi waliowachagua wabunge hawa kupata haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa bungeni?

Je, huu si mgogoro/ mgongano?!!

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa wengine hili ni swali jepesi sana lakini mimi limenipa ugumu fulani katika kulitafakari.

KUB Mbowe na vijana wake akina Mdee, Heche, Bulaya, Matiko, Msigwa na Mnyika ambao wote ni wabunge wa kuchaguliwa wanashindwa kuhudhuria bungeni kwa sababu wanahitajika mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.

Je, isingewezekana kesi kuahirishwa ili kuwapa wananchi waliowachagua wabunge hawa kupata haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa bungeni?

Je, huu si mgogoro/ mgongano?!!

Maendeleo hayana vyama!
Mimi naona waendeleee kuwa mahakamani sababu Wakiwa bungeni huwa hawaongelei mambo ya majimbo yao walikopigiwa kura.Hata Hilo kesi Wala halihusiani na majimbo yao .Hawana faida kwa majimbo yao.Hilo kesi Ni Ushahidi Badala ya kuwa majimboni kwao walikuwa kinondoni kuzurura na kufanya fujo badala ya kuwa majimboni kwao kuwakilisha wananchi na kusikiliza kero zao.Hilo kesi lingekuwa la majimboni kwao hapo sawa Lakini siyo
 
Kwa hiyo kati ya hao wabunge, hivi ni yupi aliyemfyatulia risasi yule mwanafunzi aliyekuwa kwenye gari? Unaonekana kufurahishwa na huo usumbufu wanaoupata kwa kosa ambalo kimsingi hawakulifanya.

Nilitegemea yule Mkurugenzi aliyefanya ule upuuzi wa kuwanyima wale mawakala wa chadema, hadi kufikia hao viongozi kuandamana ili haki ipatikane! awe mshtakiwa wa kwanza.

Halafu wafuatie wale polisi wote waliotumia nguvu kubwa kuliko akili kutawanya watu ambao walikua wanatembea kando kando ya barabara na wakiwa hawana madhara kwa kwa mtu yoyote yule ili tu wajipatie sifa kwa wanasiasa wanaowatumia kila siku kukandamiza maendeleo ya kisiasa nchini mwetu.
 
Kwa wengine hili ni swali jepesi sana lakini mimi limenipa ugumu fulani katika kulitafakari.

KUB Mbowe na vijana wake akina Mdee, Heche, Bulaya, Matiko, Msigwa na Mnyika ambao wote ni wabunge wa kuchaguliwa wanashindwa kuhudhuria bungeni kwa sababu wanahitajika mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.

Je, isingewezekana kesi kuahirishwa ili kuwapa wananchi waliowachagua wabunge hawa kupata haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa bungeni?

Je, huu si mgogoro/ mgongano?!!

Maendeleo hayana vyama!
Hata wakiwa Dodoma muda mwingi wanasusia Bunge wanatoka nje,sasa hapo uwakilishi wa wananchi uko wapi? Bora waendelee kwenda Mahakamani tu maana huko ndo wananchi wao waliowachagua waliwaelekeza kuwa huko
 
Mimi naona waendeleee kuwa mahakamani sababu Wakiwa bungeni huwa hawaongelei mambo ya majimbo yao walikopigiwa kura.Hata Hilo kesi Wala halihusiani na majimbo yao .Hawana faida kea majimbo yao.Hilo kesi Ni Ushahidi Badala ya kuwa majimboni kwao walikuwa kinondoni kuzurura na kufanya fujo badala ya kuwa majimboni kwao kuwakilisha wananchi na kusikiliza keep zao.Hilo kesi lingekuwa la majimboni kwao hapo sawa Lakini siyo

Muungwana yoyote yule anawajibika kuheshimu ideas zako,lakini hawajibiki kukubaliana nazo ie hizo ideas.Yoyote yule ambaye hatoishimu basi siyo muungwana.
 
Mimi naona waendeleee kuwa mahakamani sababu Wakiwa bungeni huwa hawaongelei mambo ya majimbo yao walikopigiwa kura.Hata Hilo kesi Wala halihusiani na majimbo yao .Hawana faida kwa majimbo yao.Hilo kesi Ni Ushahidi Badala ya kuwa majimboni kwao walikuwa kinondoni kuzurura na kufanya fujo badala ya kuwa majimboni kwao kuwakilisha wananchi na kusikiliza kero zao.Hilo kesi lingekuwa la majimboni kwao hapo sawa Lakini siyo
Mwambie aliechukua akili yako akurudishie mkuu. Unatia kinyaha sana
 
Mtoa mada umetoa mada nzuri mno ila tunachangia kwa kuizunguka badala ya kuongea FACTS,yes kikatiba tuna mihimili mitatu ya kiutawala BUT NI IKULU PEKEE ,yenye sauti ya mwisho kuhusu utawala wa nchi(kumbuka yale maneno ya kuwa mhimili huu umeenda chini zaidi ya mingine,ikiwa ndio wanaotoa funds za kuendesha mihimili mingine)siku itakapofika ambapo majaji wetu wataomba hizo nafasi za ujaji na kufanyiwa interview kama waombaji wengine wa kazi ndio siku mhimili huu utasimama kwa miguu yake,for now ni kusubiria tu,BUNGE ndio butu kabisa ,bora la chama kimoja wakati wa awamu ya kwanza,wakati tulikuwa tunafurika pale KARIMJEE kusikiliza hoja muhimu not now hoja za kusifia na kuomba misamaha,kumbuka scandal ya CHAVDA ,LADWAS(ujenzi feki wa zile barabara) ,issue ya serikali tatu etc etc.hawa so called wapinzani wameingizwa kwenye mkakati maalum wa kuwafanya to spends most of their time in so called courts of law kuliko kuwemo bungeni(bunge butu also),siku ambayo NEC ITAPATIKANA KWA UHURU,ndio siku ambayo vile vile nchi itashuhudia uchaguzi wa haki,wakati NEC INA STAFFS wake kuanzia taifani hadi mtaani,siku ambyo utashuhudia kura zinahesabiwa kituoni zilipopigiwa na kuingizwa kwenye systems huru na kila mtu kupata matokeo bila ya hata NEC kuyatangaza,kwa muda huu tuendelee kusubiri ,Madiba alikaa jela 27 yrs na alitoka,President Mugabe amekufa na aliyozulumu kwa wazimbabwe hataweza kuyafaidi!!
 
Back
Top Bottom