Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Bunge la AWAMU YA 5 Tanzania ni la HOVYO KUPATA KUTOKEAHuku Bunge la Tanzania likitishiwa na Ndugai kwamba wasipo pitisha Bajeti Rais atavunja Bunge, Kwa upande wa Majirani zetu kwao ni tofauti kabisa.
Tanzania Bunge lilihitimisha Mjadala wa bajeti kwa kupitisha kwa kishindo bila hata mabadiliko.
Pamoja na utata wa kodi kama ya majengo kulipwa kwa kutumia LUKU na pia kodi ya simu ila Bunge wamepitisha tena kwa kishindo.
Kenya kwa upande wao Wabunge kwa umoja wao wamepinga bajeti na hivyo kubidi ifanyiwe mabadiliko, hii sio mara ya kwanza kwa wao kupinha Bajeti, ni swala la kawaida kwao.
Bunge la Tanzania ukifuatilia kuaniza Spika yuko pale kuitetea Serikali kwa nguvu zote, Wabunge ukifuatilia wako pale kuitetea Serikali na si kusimamia.
Bunge limejaa wanafikia waganga njaa, wakina Msukuma, watapinga kinafiki siku ya kupitisha Bajeti wanapitisha kwa asilimia zote.
Haingii akilini kwamba Kodi ya nyumba itamuhusu Mwenye nyumba ilihali inajulikana fika kabisa mifumo ya upangaji kwa Tanzania kwamba swala la umeme halimuhusu mwenye nyumba kamwe.
Kwa hio hata Serikali ikoja na Bajeti ya Hovyo kiasi gani itapita tu kwa sababu wabunge wanaogopa Bunge kuvunjwa?
Neno Wanjiku kenya linatumika kama huku neno Wanyonge, wakayi huku tunatumia Wanyonge Kenya huwa wanatumia neno Wanjiku.
View attachment 1827188View attachment 1827189