Chipompo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 616
- 411
Baadhi ya Wakandarasi tabia zao hazifai kibnadam,Hufungua kampuni wakati ujuzi wa kazihiyo hana,ok hilo sioshida sana wala tatizo sababu unaruhusiwa kutafuta wataalam ili waweze kufanya kazihizo au majukumu hayo,kibaya zaidi nipale kampuni inapopata kazi ataanza kuchachawa kutafuta wakumsaidia au wenye kuiweza au ujuzi wa kazihiyo, ikifikiahapo mkandarasi anakua mnyenyekevu na mpole saanaaa kiasi kwamba utasema kwelihuyu anastahili kusaidiwa,Ndgu yanguu kumbe ni bakora yenye kisu ndani!!!,Mtaalamu unapatikana kazi inanza tena inaanza kwa mazingira magumu sana kiasikwamba unajitoa kwamoyo wote kanakwamba ile kazi niyakwako,SASA IMEFIKIA KWENYE HELA LOOOOO!! JAMAA AMEBADILIKA AMESAHAU YOOTE ULIYO YAFANYA MWISHO WA SIKU ANAKUPOTEZEA!!!! anakuona sio kitu bila kufikiria bila kujitoa kwamoyo ASINGE FIKIA KWENYE huo ufalme anaouona mbele yake