rose mzalendo
Member
- Mar 5, 2019
- 71
- 114
Dada, siku nyingine ukileta taarifa jitahidi kuishibisha hadhira yako. Yaani sisi tusiokuwepo hapo hatujafahamu chochote unachomanisha. Bora ungeleta angalau hata baadhi ya hayo malalamiko na majibu yake ndo tungepata chochote.Wakala wa Huduma za Misitu yaadhimisha wiki ya utumishi wa umma kwa kuwafundisha wananchi kuhusu ufugaji wa nyuki kibiashara na mafunzo mbalimbali.Pamoja na kusikiliza malalamiko yao