Hii mijinga inapigania vitu vidogo sana, Hivi mtu mwenye akili timamu ataweza kuzingatia dini za watu wakati wa kupanga mawakala ili kuwe na uwiano? kigezo hapa ni sifa za watu na siyo dini zao.
Ni vizuri ukazingatia. Asifuye Mvua imemnyea. Nakushauri ujitume kusoma ujue nchi yako vizuri kwa kuanzia soma kitabu chenye title: Kanisa katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 hadi 1985 kilichotungwa na Dr. John C. Sivalom M. M., 1992 - Peramiho