Karibu kwa jukwaa. Thanx kwa kutujuzaofisi zao zipo mkabala na kituo cha mabasi akiba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu kwa jukwaa. Thanx kwa kutujuzaofisi zao zipo mkabala na kituo cha mabasi akiba!
Umesema ukweli sidhani kama TAESA ina kazi tena hasa baada ya mchakato wa ajira za serikali kuhamishiwa kwa Sekretarieti ya Ajira na Utumishi wa Umma.Nilipeleka CV yangu tangu mwaka jana pale hata sijawahi kuitwaNi kweli kuna TAESA lakini HAKIKA ukiwauliza mpaka sasa wamewataftia watu wangapi kazi utalia manake jumla yake hawafiki hata 20 toka ianzishwe! I have evidence. na kama ni ofisi ya kuifuta basi ya kwanza ni TAESA. Sereikali nayo inatumix mara TAESA mara SEKRETARIATI YA AJIRA mara TUME YA UTUMISHI zote hewa bora hata RADDAR RECRUITMENT. Niambieni zile nafasi za kazi za BUNGENI NA ZA NIDA zmeyeyukia wapi?
Umesema ukweli sidhani kama TAESA ina kazi tena hasa baada ya mchakato wa ajira za serikali kuhamishiwa kwa Sekretarieti ya Ajira na Utumishi wa Umma.Nilipeleka CV yangu tangu mwaka jana pale hata sijawahi kuitwa
Ni kweli kuna TAESA lakini HAKIKA ukiwauliza mpaka sasa wamewataftia watu wangapi kazi utalia manake jumla yake hawafiki hata 20 toka ianzishwe! I have evidence. na kama ni ofisi ya kuifuta basi ya kwanza ni TAESA. Sereikali nayo inatumix mara TAESA mara SEKRETARIATI YA AJIRA mara TUME YA UTUMISHI zote hewa bora hata RADDAR RECRUITMENT. Niambieni zile nafasi za kazi za BUNGENI NA ZA NIDA zmeyeyukia wapi?
Jamani kuna kitu kinaitwa taesa,mimi zamani nilikuwa siwaamini naona ni siasa tu za serikali,lakini nimejiandikisha pale jamaa wamenitafutia kazi. tena nzuri sana. tuchangamke si unajua tena kujaribu sehemu yoyote. nime struggle miaka 3 mtaani. j3 ndio naanza kazi.