Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,403
Na
Alloyce Nyanda Mtozi
Wakala wa Barabara nchini (TARURA) sasa wameingia kwenye Biashara hatarishi ya Parking System ,leo ukiwa na gari lako ukaingia mjini ukapaki kuna watu wanakupiga picha plate namba yako wanatuma kwenye System yao .
Na bei halali ya Parking ni 1500 tu ,ikitokea umesema utalipa kesho hiyo hela basi unatakiwa kulipa elfu 40 pamoja na e 1500 ,Au ukiwa wakati huo huna hela unasema basi nitalipa kesho kwa M pesa hutatakiwa kulipa 1500 bali utalipa Elfu 40 jumlisha elf 1500 ,ukikaa siku mbili utalipa Elfu 80 ,Na wanapiga cheni na kubeba Magari kuyapeleka Maeneo yao
Serikali itajikuta inapata fedha za Uonevu kwa watu Masikini! Hivi ni kweli ubunifu wa kukusanya mapato umeshindikana mpaka tuviziane? mpaka tupigane Faini za kukomoana kiasi hiki?
Elfu 1500 Faini yake ni 40? Rais alisema msifanye watanzania ni wajinga Kiasi hicho! Tutapaki Magari na kupanda daladala kwani kuna hasara gani?
Wasi wasi wao ni upi? Kama wamechukua namba ya gari, wameweka kwenye Kumbukukumbu zao hivi hawezi hata kusema siku mbili zikipita utapigwa faini mbona Trafiki barabarani ukipigwa Faini kuna muda wa siku 7 na unalipa 30 sio 40
Mi nadhani wao waendelee kuchoma tu ,Itanuka tu na harufu itawafikia popote walipo
Angalia jamaa yangu ameshaliwa tayari! Hapo chini
Alloyce Nyanda Mtozi
Wakala wa Barabara nchini (TARURA) sasa wameingia kwenye Biashara hatarishi ya Parking System ,leo ukiwa na gari lako ukaingia mjini ukapaki kuna watu wanakupiga picha plate namba yako wanatuma kwenye System yao .
Na bei halali ya Parking ni 1500 tu ,ikitokea umesema utalipa kesho hiyo hela basi unatakiwa kulipa elfu 40 pamoja na e 1500 ,Au ukiwa wakati huo huna hela unasema basi nitalipa kesho kwa M pesa hutatakiwa kulipa 1500 bali utalipa Elfu 40 jumlisha elf 1500 ,ukikaa siku mbili utalipa Elfu 80 ,Na wanapiga cheni na kubeba Magari kuyapeleka Maeneo yao
Serikali itajikuta inapata fedha za Uonevu kwa watu Masikini! Hivi ni kweli ubunifu wa kukusanya mapato umeshindikana mpaka tuviziane? mpaka tupigane Faini za kukomoana kiasi hiki?
Elfu 1500 Faini yake ni 40? Rais alisema msifanye watanzania ni wajinga Kiasi hicho! Tutapaki Magari na kupanda daladala kwani kuna hasara gani?
Wasi wasi wao ni upi? Kama wamechukua namba ya gari, wameweka kwenye Kumbukukumbu zao hivi hawezi hata kusema siku mbili zikipita utapigwa faini mbona Trafiki barabarani ukipigwa Faini kuna muda wa siku 7 na unalipa 30 sio 40
Mi nadhani wao waendelee kuchoma tu ,Itanuka tu na harufu itawafikia popote walipo
Angalia jamaa yangu ameshaliwa tayari! Hapo chini