Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Habari tena wana jukwaa, nimekuja kasi sana usiku huu baada ya kukutana ma swala ambalo limenikera sana tena sana,
Ni baada ya 1-8-2020 Vodacom walinitumia ujumbe kuwa nihakiki namba zangu zilizosajiliwa kwa namba yangu ya NIDA.
Wakati huo sikuwa nayo hiyo namba yangu ya NIDA, nilitaka nihakiki kuna nini?
Ndio muda huu nimeingia kulala nahakiki nakuta namba ambayo siifahamu,, nimeenda kwa upande wa m-pesa jina limesoma la kwangu,, walah nimejiuliza sana.
Kumbe hawa mawakala wameanza uhuni hapa mjini.
Nipo natunga sheria na kabla sijachukua maamuzi nahitaji ushauri toka kwenu.
a) Je, nikamripoti polisi mwenye hii namba kwa kosa la kudukua namba yangu ya NIDA pasipo taarifa?. Na iwe funzo.
b) Au niende tu Vodashop ikafutwe?
c) Wakala aliye kamilisha hii namba anaweza kupatikana kwa kuangalia mashine yake ya usajili?.
Asanteni kwa usomaji mwema
Nimeumia sana hawa mawakala msiwaamini japo sio wote,,
Ushauri" ingefanywa system ukimaliza kusajili history zinafutwa kwenye mashine zao za usajili ingekuwa vyema.
©Bin Shaib Classic 2020
Ni baada ya 1-8-2020 Vodacom walinitumia ujumbe kuwa nihakiki namba zangu zilizosajiliwa kwa namba yangu ya NIDA.
Wakati huo sikuwa nayo hiyo namba yangu ya NIDA, nilitaka nihakiki kuna nini?
Ndio muda huu nimeingia kulala nahakiki nakuta namba ambayo siifahamu,, nimeenda kwa upande wa m-pesa jina limesoma la kwangu,, walah nimejiuliza sana.
Kumbe hawa mawakala wameanza uhuni hapa mjini.
Nipo natunga sheria na kabla sijachukua maamuzi nahitaji ushauri toka kwenu.
a) Je, nikamripoti polisi mwenye hii namba kwa kosa la kudukua namba yangu ya NIDA pasipo taarifa?. Na iwe funzo.
b) Au niende tu Vodashop ikafutwe?
c) Wakala aliye kamilisha hii namba anaweza kupatikana kwa kuangalia mashine yake ya usajili?.
Asanteni kwa usomaji mwema
Nimeumia sana hawa mawakala msiwaamini japo sio wote,,
Ushauri" ingefanywa system ukimaliza kusajili history zinafutwa kwenye mashine zao za usajili ingekuwa vyema.
©Bin Shaib Classic 2020