pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 706
- 665
kuna mda nilkuwa nikipita mitaa ya stendi nikasikia kelele kama mtu analazmishwa kufanya kitu flani hiv.., sema nikaamua kuachana navyo wala ckutilia maanan hata kidogo...,
ilipofika jion nikaenda katika kile kituo kuangalia matokeo kama wameshayabandka tayar ndipo rafiki yangu akanambia kuwa wakala wawa dada yetu mama mbega aligoma kusaign baada ya kuonekana amepata kula 2 ckuamin kama kweli huyu mtu kapata kura mbili.., cha pili pia nirifurahi sana kuona gepu aliloachwa na kaka yetu msigwa ambaye alikuwa na kura 180..,haya tuendelee.., basi yule wakala baada ya kuona matokeo ya mtu wake yako vile aaahaa.., c akaamua aache ata kusaign lakini wenzake wakamwambia asign tu kwan mbina yeye hausiki na chochote.., yeye akaendelea kugoma ..ndipo wakaj wazee wenyewe wa kaz FFU lakin bado jamaa akajidai mbishi.., akapigwa kibao kimoja tu yani fasta akasaign..
ni hayo tu wadau
slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa one way ikuuuuuuuuuuuuuuuuuulllllllluuuuuuuuuuuuu:israel:
ilipofika jion nikaenda katika kile kituo kuangalia matokeo kama wameshayabandka tayar ndipo rafiki yangu akanambia kuwa wakala wawa dada yetu mama mbega aligoma kusaign baada ya kuonekana amepata kula 2 ckuamin kama kweli huyu mtu kapata kura mbili.., cha pili pia nirifurahi sana kuona gepu aliloachwa na kaka yetu msigwa ambaye alikuwa na kura 180..,haya tuendelee.., basi yule wakala baada ya kuona matokeo ya mtu wake yako vile aaahaa.., c akaamua aache ata kusaign lakini wenzake wakamwambia asign tu kwan mbina yeye hausiki na chochote.., yeye akaendelea kugoma ..ndipo wakaj wazee wenyewe wa kaz FFU lakin bado jamaa akajidai mbishi.., akapigwa kibao kimoja tu yani fasta akasaign..
ni hayo tu wadau
slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa one way ikuuuuuuuuuuuuuuuuuulllllllluuuuuuuuuuuuu:israel: